Wanasheria watupe mwongozo kuhusu hili. Je, swala likifika mahakamani inakuwa marufuku kabisa kuliongelea au inategemea namna unavyoliongelea? Je, nikiongelea jinsi nilivyomjua marehemu, wema wake, ukorofi wake, umahiri wake kikazi n.k. ninakuwa nimekiuka sheria?
sawa, lakini ni vizuri ukatoa hadidu za rejea za mjadala in your perspective maana swala hili linaendelea kujadiliwa katika media mbalimbali, je, wewe una hoja mpya?!, leta tuijadili.
Who is going to control mjadala huo na ni kwa maslahi gani? Swala la Ulimboka limejadiliwa sana na sasa je, mijadala hiyo imeleta nini chenye maana? Umesikia tena Ulimboka anazungumzwa? Kusema sana habari za marehemu kwa sasa bila objective haina positive impact kwa familia yake. Sema izungumzwe historia yake ili kumuenzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.