- Cost ya vifaranga
- Cost ya mabanda (materials + fundi)
- Cost ya madawa
- Cost ya chanjo
- Cost ya chakula (kama unatengeneza mwenyewe au utanunua dukani)
- Cost ya vifaa (Drinkers, feeders & cages)
- Cost ya Dr kuhudumia for some special cases.
- Cost ya mfanyakazi wa kuhudumia
- Cost ya security (Hii si lazima sana)
- Cost ya nishati (umeme)
Nmejaribu costs kadhaa, sina uzoefu wakufuga!.