Vikao vya Harusi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 512
- 140
Slaa alishasema mjadala umefungwa mpaka maamuzi ya cc
Vitu vya kujiulizi
1:mbona huko alikokuwa ziarani,habari nzima ilikuwa juu ya uamuzi wa kamati kuu juu ya kuwavua akina ZZK
2:huyu Heche nae anazunguka zunguka na kuruka ruka mikoani kuhusu hili hili swala
3:na kundi la mwisho ni hawa CYBER A-Sukhoi,najua mnawajua sana wakiongozwa na bauncer B.S,wamekuwa wakitundika nyuzi kila panapoitwa SOCIAL MEDIUM,hili nalo ni swala linalokiuka katika ya SACCOS!
jifunzeni kukaa kimya! Kama mnahisi hata kuwavua vyeo haitoshi,watoeni uanachama,kama mnahisi na hiyo haitatosha,wafanyieni kama mlichomfanyia Mkurya,kama mnahisi hiyo haitoshi,Ombeni Mungu tu,kwakuwa mmesema mmeanza na Mungu mtamaliza na Mungu,na huo uwe mwisho wenuuuuu! Huh
Vitu vya kujiulizi
1:mbona huko alikokuwa ziarani,habari nzima ilikuwa juu ya uamuzi wa kamati kuu juu ya kuwavua akina ZZK
2:huyu Heche nae anazunguka zunguka na kuruka ruka mikoani kuhusu hili hili swala
3:na kundi la mwisho ni hawa CYBER A-Sukhoi,najua mnawajua sana wakiongozwa na bauncer B.S,wamekuwa wakitundika nyuzi kila panapoitwa SOCIAL MEDIUM,hili nalo ni swala linalokiuka katika ya SACCOS!
jifunzeni kukaa kimya! Kama mnahisi hata kuwavua vyeo haitoshi,watoeni uanachama,kama mnahisi na hiyo haitatosha,wafanyieni kama mlichomfanyia Mkurya,kama mnahisi hiyo haitoshi,Ombeni Mungu tu,kwakuwa mmesema mmeanza na Mungu mtamaliza na Mungu,na huo uwe mwisho wenuuuuu! Huh