Mizigo ya kulipia forodha

wiser1

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
2,606
Reaction score
3,979
Habari nyote, naomba kufaham ni aina gani na shilingi ngapi inayotakiwa kulipiwa forodha / ushuru kwa mizigo inayotoka nje ya nchi.

Asanteni
 
Habari nyote, naomba kufaham ni aina gani na shilingi ngapi inayotakiwa kulipiwa forodha / ushuru kwa mizigo inayotoka nje ya nchi.

Asanteni
Ingia website ya TRA utaona categories za import zote na kodi ya kuilipia itatofautiana bidhaa na bidhaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…