Huyu PM ni bonge la Non-Performer !!! Sielewi kwanini JK hajampiga chini mpaka leo hii ...Hivi muheshimiwa Waziri mkuu yupo likizo ama vipi? Haonekani hasikiki hata kwenye majanga Haya ya mafuriko ambayo yapo chini yake. Mwenye taarifa tafadhali.
Huyu PM ni bonge la Non-Performer !!! Sielewi kwanini JK hajampiga chini mpaka leo hii ...