Miundombinu Bora ya Elimu Shule ya Sekondari Mwakata

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,903
945

MIUNDOMBINU BORA YA ELIMU, SHULE YA SEKONDARI MWAKATA-KAHAMA

Matukio kwenye picha Ziara ya Makamu mwenyekiti wa UWT MNEC. Zainab Shomari mapema leo Agosti 28.2023 akiwa wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga ambapo ametembelea na kukagua Mradi wa ujenzi wa Maabara ya masomo ya Sayansi katika shule ya Sekondari Mwakata iliyopo Kata ya Mwakata halmashauri ya wilaya ya Msalala.

Ujenzi huo umegharimu jumla ya shilingi milioni 70,299,000 ambapo uwepo wa maabara shuleni hapo umetajwa kuamsha hari na morari kwa wanafunzi kupenda masomo ya Sayansi,kuongeza ufaulu na umewawezesha walimu shuleni hapo kutotumia nguvu kubwa katika ufundishaji kwa vitendo.

🗓28/8/2023 📍Kahama

UWT IMARA. JESHI LA MAMA. KAZI IENDELEE
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-08-29 at 12.32.30.jpeg
    WhatsApp Image 2023-08-29 at 12.32.30.jpeg
    61.8 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2023-08-29 at 12.32.29.jpeg
    WhatsApp Image 2023-08-29 at 12.32.29.jpeg
    50.9 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2023-08-29 at 12.32.30(1).jpeg
    WhatsApp Image 2023-08-29 at 12.32.30(1).jpeg
    53.2 KB · Views: 2
Nchi hii i amatatizo hadi unabaki kushangaa tu.Miaka 62 ya uhuru bado tunahangaika na madarasa ya shule na maabara?mliopewa dhamana mjitathimini kama hizo nafasi zinawafaa.
 
Back
Top Bottom