Mitsubishi pajero

Mitsubishi pajero

london1

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2011
Posts
430
Reaction score
947
Salaam zenu wana jf.Naomba kuuliza kuhusu hizi gari pajero,kuhusu ubora wake,speare zake bei mbaya? Pia kama zina matatizo ya kudumu kam gear box au head gasket.Nitashukuru maoni yenu has kwa wale waloshawahi kuwa nazo au mafundi. Ahsanteni.
 
Una pajero gani ww? Zipo kama type nne nnazozijua mm ila mm nina experience na GDI hizi i10
 
Bado sina lakini nimeziona bei ni poa hapa nilipo na nilikuwa nataka kununua moja kuileta bongo,lakini sitaki kununua baadae ikawa msiba ukizingatia hizi ni gari za kizamani kidogo.
 
Back
Top Bottom