Nyabutoro
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 1,340
- 1,595
Habari wana jamvi.
Leo nineona ni vema kuwashirikisha katika jambo hili ambalo limekuwa likifanywa na mitandao ya simu bila ridhaa ya mtumiaji.Jambo lenyewe ni kuwekewa mwito unaosikilizwa na anayekupigia bila wewe kuuridhia.Mfano unawekewa wimbo wa mapenzi/kutongozana alafu ukipigiwa na mama mkwe anajisikia vibaya au kukuona kama muhuni vile, au wewe ni mchungaji/shehe unawekewa wimbo unaoenda tofauti na maadili ya dini yako.
Kwa mawazo yangu nafikiri jambo hili si sawa.Ifike mahali mitandao isilazimishe biashara.
Nawasilisha.
Leo nineona ni vema kuwashirikisha katika jambo hili ambalo limekuwa likifanywa na mitandao ya simu bila ridhaa ya mtumiaji.Jambo lenyewe ni kuwekewa mwito unaosikilizwa na anayekupigia bila wewe kuuridhia.Mfano unawekewa wimbo wa mapenzi/kutongozana alafu ukipigiwa na mama mkwe anajisikia vibaya au kukuona kama muhuni vile, au wewe ni mchungaji/shehe unawekewa wimbo unaoenda tofauti na maadili ya dini yako.
Kwa mawazo yangu nafikiri jambo hili si sawa.Ifike mahali mitandao isilazimishe biashara.
Nawasilisha.