Mitandao ya simu imepunguza tena mb.

Mitandao ya simu imepunguza tena mb.

je parle

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2018
Posts
2,090
Reaction score
4,060
Nimepatwa na mshangao kuona nlikuwa nikipata gb 1 kwa buku jero.Na tigo hivyo hivyo ila leo paap! Naona tigo mb 900 na vodacom mb 800 .kama vile wameambiana kupunguza mb .au huko kwenye mitandao ya simu vita ya ukrain pia imewaathiri.
 
Nyongeza ya mshahara Kwa watumishi inasababisha vitu kupanda bei Kama alivyokuwa anasema jiwe. Kweli jiwe alikuwa mwamba sana
 
Kuna mama mmoja huwa ananipitishia uji kikombe kimoja buku,leo kapita kaniambia bukujero,nikamwuliza kulikoni,kanijibu vita baba huko Ukraine hahahaha
Nimepatwa na mshangao kuona nlikuwa nikipata gb 1 kwa buku jero.Na tigo hivyo hivyo ila leo paap! Naona tigo mb 900 na vodacom mb 800 .kama vile wameambiana kupunguza mb .au huko kwenye mitandao ya simu vita ya ukrain pia imewaathiri.
 
Luna siku tutauzia bando la internet tu mb 50 kwa buku 3 just imagine wanatuona malofa sana
 
Kitaalamu hili suala ni kwamba ”WANATIKISA KIBIRITI".

Mama hana Khabari, Mamlaka haziwezi sema kitu kwa Mabeberu kinachofuata ni Machafuko ya chinichini kwa chinichini.

Pia watu watasusia bidhaa na hata kutafuta 'Alternative' nyinginezo na hivyo kupelekea vurugu sana.

Chanzo ya yote haya ni 'Mama' kuwa na 'Domo Zege'.
 
Mitandao yote wamepandisha gharama za vifurushi
 
Naskia mpaka Umeme pia wamepunguza "Tuyuniti".
 
Back
Top Bottom