mbutamaseko
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 735
- 1,050
Fikiria tu mfano wa kilichotokea Morogoro jana. Watu waliungua wakiwa na simu zao mifukoni na lazima baadhi walikuwa na fedha kwenye Tigo pesa au Mpesa zao.
Je, hizi pesa mwisho wake huwa nini? Sijawahi kusikia mtandao wowote unatangaza kurudisha pesa kwa familia za ndugu ambao wanahofiwa kufa.
Kungekuwa na utamaduni wa kutangaza majina ya namba ambazo zimekuwa 'dormant' sana ili kama kuna ndugu wajitokeze watoe taarifa kuhusu wapendwa wao na kama kulikuwa na chochote kwenye simu zao basi ndugu wapewe.
Ni watu wengi walikufa nungwi kule, lakini pia Mv Nyerere iliuwa wengi sana. Unadhani fedha zao ziliishia wapi? kumbuka watanzania wengi wamefanya hizi simu kua Benki zao hivyo fikira ni pesa kiasi gani zinazopotea wakati warithi wapo.
Je, hizi pesa mwisho wake huwa nini? Sijawahi kusikia mtandao wowote unatangaza kurudisha pesa kwa familia za ndugu ambao wanahofiwa kufa.
Kungekuwa na utamaduni wa kutangaza majina ya namba ambazo zimekuwa 'dormant' sana ili kama kuna ndugu wajitokeze watoe taarifa kuhusu wapendwa wao na kama kulikuwa na chochote kwenye simu zao basi ndugu wapewe.
Ni watu wengi walikufa nungwi kule, lakini pia Mv Nyerere iliuwa wengi sana. Unadhani fedha zao ziliishia wapi? kumbuka watanzania wengi wamefanya hizi simu kua Benki zao hivyo fikira ni pesa kiasi gani zinazopotea wakati warithi wapo.