Miongozo, Taarifa na Kuhusu utaratibu, vyote vipo kwa mujibu wa Kanuni za Bunge linapokuwa linaendesha mijadala yake. Kwani wewe muanzisha thread ulitaka wabunge wakaombe miongozo wapi? Waje nyumbani kwenu? Oh come on, Fat you!
kunawabunge wanapaswa kupewa adhabu ya viboko mule bungeni kwani wanatuhalibia bunge sana na kulifanya kama la watoto hawa wabunge wa namna hii wafukuzwe tu bungeni.
Miongozo siyo kosa na inakubalika na ipo kiu taratibu kwa nini wabunge wasitumie hiyo fursa?. Labda iwe sijakuelewa lakini kama una maanisha ulichosema wewe ni KILAZA na Hujui unakoelekea rudi BABY CLASS.
walipo ondolewa wale wabunge watano active, bunge liliugua ugonjwa unaoitwa ACTIVE INERTIA yaani lilkuwa busy lakini hakukua na kitu cha maana kilichokuwa kinafanyika.