Mitaala yetu ianzishe somo la falsafa

Mitaala yetu ianzishe somo la falsafa

philosophy

Senior Member
Joined
Nov 11, 2012
Posts
104
Reaction score
42
Lengo la makala haya, ni mwandishi kujaribu kuunga mkono baadhi ya watanzania ambao wamejaribu kupigia kelele ufundishaji wa falsafa katika mfumo wetu wa elimu. Kwa hiyo ni mapaendekezo ya kutaka serikali kupitia wizara ya elimu kuanzisha somo la falsafa katika elimu yetu kwa ustawi bora wa taifa letu.

Kwa mawazo na maoni juu ya maarifa ya mambo mbalimbali tuwasiliane kwa:
alcherwega@ymail.com
0758149715
 

Attachments

Lengo la makala haya, ni mwandishi kujaribu kuunga mkono baadhi ya watanzania ambao wamejaribu kupigia kelele ufundishaji wa falsafa katika mfumo wetu wa elimu. Kwa hiyo ni mapaendekezo ya kutaka serikali kupitia wizara ya elimu kuanzisha somo la falsafa katika elimu yetu kwa ustawi bora wa taifa letu.

Kwa mawazo na maoni juu ya maarifa ya mambo mbalimbali tuwasiliane kwa:
alcherwega@ymail.com
0758149715
Naunga mkono hoja. Ujinga mwigi katika nchi yetu husababishwa na ukosefu wa hii elimu hasa katika matawi yake ya logic, epistemology na metaphysics
 
Naunga mkono hoja. Ujinga mwigi katika nchi yetu husababishwa na ukosefu wa hii elimu hasa katika matawi yake ya logic, epistemology na metaphysics
kweli kabisa kinachotakiwa ni sisi ambao tunajaribu kuona umuhimu wa elimu hii kupigia kelele elimu hii isambazwe kwa watu wote
 
Back
Top Bottom