samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,237
Tanesco kupitia REA wametuwekea Umeme huku vijijin lakin mita zimewekwa juuu kwenye nguzo sijui sababu nini lakini kukatika umeme ndio balaa yaweza tokea Mara kumi hivi ni nini hii tanesco.inakera inaudhi.
Mkuu huku Mbeya ndiyo yametapakaa mamita hayo. Umeme ni full kukatika utafikiri kuna mgao. TANESCO tunajua kuwa hili tatizo mnalitambua, chukueni hatua madhubuti kutuondolea adha hii!! Watoto wanashindwa hata kujisomea!!