Mita mpya za LUKU ni JIPU

kichuminyi

JF-Expert Member
Mar 4, 2014
234
173
Nazungumzia hizi mita zinazotumia remote.
Sina shida na lengo kuu la kudhibiti mianya ya wizi wa umeme, shida yangu ni kwenye ubora wa hizi mita na remote zake na hasara inayo patikana kutokana na ubovu wa mita hizo na usumbufu kwa wateja.
Mimi binafsi nilifungiwa mita hii mwezi July 2015, lakini ilifanya kazi kwa siku 4 tu ikawa haiingizi umeme, baada ya kutoa taarifa nikapewa clear temper namba niingize, kweli umeme uliwaka lakini kesho ukazima. Nikarudi tena Tanesco nikapewa number nyingine hali ikawa hivyo hivyo baada ya siku nne ukakata tena.
Mafundi wakaja kucheki wakadai mita mbovu, kinachofuata ni kuandikiwa maombi ya mita nyingine.
Nikaenda ofisini kwao nikauliza sasa mnakuja lini kunifungia hiyo mita? Wakadai kuwa maombi kama yako ni mengi kwa hiyo itachukua kama miezi miwili hivi. Niliumwa kichwa ghafla maana hapo nimekaa miezi 5 baada ya kulipia ndipo nikafungiwa, sasa hivi naambiwa tena nisubirie miezi 2 ili hali hata zile unit 50 za kwanza sijazimaliza na kosa si langu lkn nilivumilia baada ya miezi 3 ya kuvutana kila siku Tanesco ndipo nikafungiwa. Bahati mbaya mimi si mtoaji wa chochote kwenye haki yangu.
Wiki tatu zilizopita mita ya shangazi yangu aina hihi wakati ule wa ile mvua kubwa ya siku moja hapa Dar na radi zake nayo ikazima. Amepewa number za ku clear mara mbili lkn hamna kitu, baadaye wanasema imeharibika wakati hata miezi 6 bado??
Hao hao mafundi wa Tanesco wanadai mita hizi zipo chini ya kiwango. Maana malalamiko ya mita hizi kuharibika ni mengi mno kuliko yale matoleo ya kwanza. Binafsi kwa wazazi wana ile luku ya zamani ni miaka zaidi ya 15 lkn haijawahi kuwa na tatizo.
Najiuliza kama ni kweli zipo chini ya kiwango kwa nini ziliingizwa?
Je ni bei nafuu ndio ilifanya ziingizwe? Kama ni unafuu wa bei, mbona wateja tunalipishwa bei za juu?
Zile remote nazo ni majanga maana button zinatoka mojamoja zenyewe.
Naomba wahusika habari ziwafikie popote pale walipo, kama ni jipu basi litumbuliwe tu, maana hamna namna
 
yangu inazima ukiwasha taa sita kwa wakati mmoja, nimeenda tanesco tangu july 15 mpaka leo wapi,kuna mfanyakazi alinitonya kwamba mita hizi ni za mchina na ni bomu!!!!!!
 
Duu mm n janga kwangu, Umeme ukikatika ukirudi kwa majirani kwangu n Giza mpaka nitafute mafundi wa Tanesco waje kubusti kwenye transfoma, hii n zaidi ya jipu, unaweza nunua Umeme na husiingie milele uku umeshaliwa fedha
 
Aisee..!
Hii ndo Tanzania bwana ukibana huku watu wanakula kule..!
 
Nazungumzia hizi mita zinazotumia remote.
Sina shida na lengo kuu la kudhibiti mianya ya wizi wa umeme, shida yangu ni kwenye ubora wa hizi mita na remote zake na hasara inayo patikana kutokana na ubovu wa mita hizo na usumbufu kwa wateja.
Mimi binafsi nilifungiwa mita hii mwezi July 2015, lakini ilifanya kazi kwa siku 4 tu ikawa haiingizi umeme, baada ya kutoa taarifa nikapewa clear temper namba niingize, kweli umeme uliwaka lakini kesho ukazima. Nikarudi tena Tanesco nikapewa number nyingine hali ikawa hivyo hivyo baada ya siku nne ukakata tena.
Mafundi wakaja kucheki wakadai mita mbovu, kinachofuata ni kuandikiwa maombi ya mita nyingine.
Nikaenda ofisini kwao nikauliza sasa mnakuja lini kunifungia hiyo mita? Wakadai kuwa maombi kama yako ni mengi kwa hiyo itachukua kama miezi miwili hivi. Niliumwa kichwa ghafla maana hapo nimekaa miezi 5 baada ya kulipia ndipo nikafungiwa, sasa hivi naambiwa tena nisubirie miezi 2 ili hali hata zile unit 50 za kwanza sijazimaliza na kosa si langu lkn nilivumilia baada ya miezi 3 ya kuvutana kila siku Tanesco ndipo nikafungiwa. Bahati mbaya mimi si mtoaji wa chochote kwenye haki yangu.
Wiki tatu zilizopita mita ya shangazi yangu aina hihi wakati ule wa ile mvua kubwa ya siku moja hapa Dar na radi zake nayo ikazima. Amepewa number za ku clear mara mbili lkn hamna kitu, baadaye wanasema imeharibika wakati hata miezi 6 bado??
Hao hao mafundi wa Tanesco wanadai mita hizi zipo chini ya kiwango. Maana malalamiko ya mita hizi kuharibika ni mengi mno kuliko yale matoleo ya kwanza. Binafsi kwa wazazi wana ile luku ya zamani ni miaka zaidi ya 15 lkn haijawahi kuwa na tatizo.
Najiuliza kama ni kweli zipo chini ya kiwango kwa nini ziliingizwa?
Je ni bei nafuu ndio ilifanya ziingizwe? Kama ni unafuu wa bei, mbona wateja tunalipishwa bei za juu?
Zile remote nazo ni majanga maana button zinatoka mojamoja zenyewe.
Naomba wahusika habari ziwafikie popote pale walipo, kama ni jipu basi litumbuliwe tu, maana hamna namna
Mimi lillinikuta kama wewe mpaka nilienda kuwasha moto kwa meneja na kumpiga mkwala kweli kweli ndipo Asubuhi yake wakaja kubadilisha mita usicheze na tanesco ni bonge la wapenda Rushwa.
 
Hizi meter zinatakiwa kuondolewa kwenye matumizi kwani Tanesco wanaushahidi wakutosha kuwa hazikidhi mahitaji kwa Watumiaji. Ukienda kitengo cha malalamiko asilimia zadi ya 46, utakuta ni tatizo la Ubovu wa Meter za luku.

Nilifungiwa hii meter ikawa inasumbua sana, umeme ukikatika na kurudi, huwa lazima nisubirie kama dk moja na nusu ndio na kwangu unawaka. Au ikitokea flow current ya umeme imepungua chini ya 220V, inajizima hadi pale umeme utakapo maintain current yake ya 220V hadi 240V

Napendekeza kuwa hizi meter hazina kiwango kinachotakiwa. Badala yake ziondolewe kwenye mzunguko wa Matumizi ili kuepusha usumbufu tunaoupata sisi wateja.


ImageUploadedByJamiiForums1456822251.757888.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1456822281.925134.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1456822306.617408.jpg
 
Juz nilipara
Hizi meter zinatakiwa kuondolewa kwenye matumizi kwani Tanesco wanaushahidi wakutosha kuwa hazikidhi mahitaji kwa Watumiaji. Ukienda kitengo cha malalamiko asilimia zadi ya 46, utakuta ni tatizo la Ubovu wa Meter za luku.

Nilifungiwa hii meter ikawa inasumbua sana, umeme ukikatika na kurudi, huwa lazima nisubirie kama dk moja na nusu ndio na kwangu unawaka. Au ikitokea flow current ya umeme imepungua chini ya 220V, inajizima hadi pale umeme utakapo maintain current yake ya 220V hadi 240V

Napendekeza kuwa hizi meter hazina kiwango kinachotakiwa. Badala yake ziondolewe kwenye mzunguko wa Matumizi ili kuepusha usumbufu tunaoupata sisi wateja.


View attachment 326657
View attachment 326658View attachment 326659
Ngana nao balaa, hizi mita Ni mbovu Sana tena Ni fake hazina ubora
 
Hivi hizi meters huwa zinanunuliwa moja kwa moja na Tanesco au kuna watu wanapewa dili(tender) za kuwanunulia Tanesco? Maana malalamiko ni mengi sana, kwanini meters ziwe mbovu?
 
Nazungumzia hizi mita zinazotumia remote.
Sina shida na lengo kuu la kudhibiti mianya ya wizi wa umeme, shida yangu ni kwenye ubora wa hizi mita na remote zake na hasara inayo patikana kutokana na ubovu wa mita hizo na usumbufu kwa wateja.
Mimi binafsi nilifungiwa mita hii mwezi July 2015, lakini ilifanya kazi kwa siku 4 tu ikawa haiingizi umeme, baada ya kutoa taarifa nikapewa clear temper namba niingize, kweli umeme uliwaka lakini kesho ukazima. Nikarudi tena Tanesco nikapewa number nyingine hali ikawa hivyo hivyo baada ya siku nne ukakata tena.
Mafundi wakaja kucheki wakadai mita mbovu, kinachofuata ni kuandikiwa maombi ya mita nyingine.
Nikaenda ofisini kwao nikauliza sasa mnakuja lini kunifungia hiyo mita? Wakadai kuwa maombi kama yako ni mengi kwa hiyo itachukua kama miezi miwili hivi. Niliumwa kichwa ghafla maana hapo nimekaa miezi 5 baada ya kulipia ndipo nikafungiwa, sasa hivi naambiwa tena nisubirie miezi 2 ili hali hata zile unit 50 za kwanza sijazimaliza na kosa si langu lkn nilivumilia baada ya miezi 3 ya kuvutana kila siku Tanesco ndipo nikafungiwa. Bahati mbaya mimi si mtoaji wa chochote kwenye haki yangu.
Wiki tatu zilizopita mita ya shangazi yangu aina hihi wakati ule wa ile mvua kubwa ya siku moja hapa Dar na radi zake nayo ikazima. Amepewa number za ku clear mara mbili lkn hamna kitu, baadaye wanasema imeharibika wakati hata miezi 6 bado??
Hao hao mafundi wa Tanesco wanadai mita hizi zipo chini ya kiwango. Maana malalamiko ya mita hizi kuharibika ni mengi mno kuliko yale matoleo ya kwanza. Binafsi kwa wazazi wana ile luku ya zamani ni miaka zaidi ya 15 lkn haijawahi kuwa na tatizo.
Najiuliza kama ni kweli zipo chini ya kiwango kwa nini ziliingizwa?
Je ni bei nafuu ndio ilifanya ziingizwe? Kama ni unafuu wa bei, mbona wateja tunalipishwa bei za juu?
Zile remote nazo ni majanga maana button zinatoka mojamoja zenyewe.
Naomba wahusika habari ziwafikie popote pale walipo, kama ni jipu basi litumbuliwe tu, maana hamna namna
 

Attachments

  • image.jpeg
    image.jpeg
    154.4 KB · Views: 275
  • image.jpeg
    image.jpeg
    190.1 KB · Views: 215
  • image.jpeg
    image.jpeg
    137.2 KB · Views: 235
  • image.jpeg
    image.jpeg
    190.1 KB · Views: 170
  • Thanks
Reactions: amu
Hizi meter zinatakiwa kuondolewa kwenye matumizi kwani Tanesco wanaushahidi wakutosha kuwa hazikidhi mahitaji kwa Watumiaji. Ukienda kitengo cha malalamiko asilimia zadi ya 46, utakuta ni tatizo la Ubovu wa Meter za luku.

Nilifungiwa hii meter ikawa inasumbua sana, umeme ukikatika na kurudi, huwa lazima nisubirie kama dk moja na nusu ndio na kwangu unawaka. Au ikitokea flow current ya umeme imepungua chini ya 220V, inajizima hadi pale umeme utakapo maintain current yake ya 220V hadi 240V

Napendekeza kuwa hizi meter hazina kiwango kinachotakiwa. Badala yake ziondolewe kwenye mzunguko wa Matumizi ili kuepusha usumbufu tunaoupata sisi wateja.


View attachment 326657
View attachment 326658View attachment 326659
Hizo mita hazina tatizo, unatatizo gani usaidiwe
 
Back
Top Bottom