Sir Makombo
Member
- Sep 13, 2018
- 48
- 58
Kwa wale waliosoma SAUT Mwanza. Foremost Education, nan anamuelewa Mr.Basil kwa wana Linguistics, na Mr.Sijjo kwa education measurement. Mmoja alitutesa sana kwa sababu alimpenda demu kwenye group letu. Mwingine alitupeleka sana kwa sababu tulipitiwa kukusanya assignment.