mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,440
- 2,966
Kuna huyu kijana anaitwa "YOUNG KILLER"
Nyimbo zake na mistari yake huwa naikubali sana.
Kama pale aliposema
Unaogopa nini toba,
We binti wacha uoga,
Ona unaguu la bia, halafu nguvu ni za soda,
Sura haishiki poda,
Unasifiwa na mawaki,
Kisha unaota mapembe utadhani umekula nyati......
Nyimbo inaitwa "UNAIYONAJE ft Hermonize.
Hebu tupia mstari unaoukubali kwenye nyimbo yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyimbo zake na mistari yake huwa naikubali sana.
Kama pale aliposema
Unaogopa nini toba,
We binti wacha uoga,
Ona unaguu la bia, halafu nguvu ni za soda,
Sura haishiki poda,
Unasifiwa na mawaki,
Kisha unaota mapembe utadhani umekula nyati......
Nyimbo inaitwa "UNAIYONAJE ft Hermonize.
Hebu tupia mstari unaoukubali kwenye nyimbo yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app