Kiufupi niliwamis sana kiasi ya kwamba hata kuelezea siwezi, ila naimani tuliokuwa nao mwaka Jana Mungu awabariki sana.. Pia niseme kwa wale wenzetu ambao tulikuwa nao kwa namna moja au nyingi Mungu aliwapenda Basi wapunguziwe adhabu ya kaburi.. Nawasalimuni wote kwa Imani uliyokuwa nayo
A.msalaaam alhamdulilah tumekutana tena tukiwa wazima tuwaombee msamaha kwa waliotangulia mbele ya haki MWENYEZMUNGU awapokee kwa wema awaondolee adhabu za qabur yaarab karibu tena
A.msalaaam alhamdulilah tumekutana tena tukiwa wazima tuwaombee msamaha kwa waliotangulia mbele ya haki MWENYEZMUNGU awapokee kwa wema awaondolee adhabu za qabur yaarab karibu tena