chardams
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 2,439
- 1,734
Mkuu Kibaya chajiuza....."Mimi ni msichana mrembo sana" nilipoona tu maneno hayo nikadharau uzi wote.
Hivi huo urembo sana uliupima kwa vigezo gani hadi kufikia hitimisho la kujiita hivyo ?
Mkuu Kibaya chajiuza....."Mimi ni msichana mrembo sana" nilipoona tu maneno hayo nikadharau uzi wote.
Hivi huo urembo sana uliupima kwa vigezo gani hadi kufikia hitimisho la kujiita hivyo ?
I wn knw the bad ones,m gettin curious nwOfcoz yes a lot of good and bad things.
siku si nying utakujua kama unapenda kukesha sanaNdio wapi huko?
Haikuwa na ulazima sana kusema ww ni mzuri sanaaKama jina linavyojieleza mimi ni msichana mrembo sana nipo Dar es Salam napenda sana kujifunza hasa kutoka kwa critical thinkers!
Nafahamu yakuwa kuwa curious kuna negative na positive outcomes ila I am ready to deal with all that.
Nahitaji marafiki wa jinsia zote kunielekeza jinsi ya kutumia jf, kuweka profile picha, kuitalize, kuweka colour, kucite thread za nyuma but nina uwezo kidogo tu wa kupost new thread na kusoma coz nimekuwa nikiingia jf as a guest.
You are welcome guys.
unaweza kukuta ni mwanaume huyo hahaKaribu mrembo
Kamanda! walahi huyu ni mwanaume.....Haikuwa na ulazima sana kusema ww ni mzuri sanaa
Nimekutumia ujumbe PM kisha utanijibuKama jina linavyojieleza mimi ni msichana mrembo sana nipo Dar es Salam napenda sana kujifunza hasa kutoka kwa critical thinkers!
Nafahamu yakuwa kuwa curious kuna negative na positive outcomes ila I am ready to deal with all that.
Nahitaji marafiki wa jinsia zote kunielekeza jinsi ya kutumia jf, kuweka profile picha, kuitalize, kuweka colour, kucite thread za nyuma but nina uwezo kidogo tu wa kupost new thread na kusoma coz nimekuwa nikiingia jf as a guest.
You are welcome guys.
Aisee kweli mkuuMkuu Kibaya chajiuza.....