Mishara mipya kwa mwaka wa fedha 2013/2014

Mishara mipya kwa mwaka wa fedha 2013/2014

Buhamila

Senior Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
160
Reaction score
82
Jamani kwa anayejua kima cha chini kwa mwaka huu mpya wa fedha anijuze make nasikia mishahara imepanda lakini haijulikani ni kwa kiasi gani?
 
unafanya kazi kampuni gani ya ulinzi? uliza yako tu inakutambulisha we mlinzi.
 
Chalii unaulizia mshahara peke yake, mbona huulizii majukumu kama yameongezeka?????????
Wewe ni "Agitator" full.
 
Jamani mwenye nayo ampe tu acheni roho mbaya ya kuponda .
 
Sijui kama hii itakusaidia......
Mimi nilipo kima cha chini kimepanda kutoka Tshs 350, 000 kwenda 450, 000
 
Ufanyi Kaziiiiiiiiii? Kamulize Bos Wako Anayekulipa Utapewa Jibu Kule Naweza Nikakuambia Kima Changu Cha Chini Nalipwa Kiasi Flani Ukazimia@
 
Bado confidential kwa sasa subiria mwisho wa mwezi huu ndugu yangu ili uwe na uhakika .
 
Kuna watu wanakera kwenye JF. Mtu anauliza swali kwa kutaka kujua, kuna watu "wapumbavu" wanaanza kutoa majibu ya kusanifu. Kama hujui jibu la swali ni bora ukapotezea. Kwa upumbavu kuna watu watataka kurumbana na mimi. Naomba tushindane kwa hoja na sio "upumbavuzu"
 
Back
Top Bottom