Kuna watu wanakera kwenye JF. Mtu anauliza swali kwa kutaka kujua, kuna watu "wapumbavu" wanaanza kutoa majibu ya kusanifu. Kama hujui jibu la swali ni bora ukapotezea. Kwa upumbavu kuna watu watataka kurumbana na mimi. Naomba tushindane kwa hoja na sio "upumbavuzu"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.