Mishahara ya programme officers fao tanzania

Kimla

JF-Expert Member
Jun 8, 2008
3,337
5,572
Nignependa kujua Mishahara na marupurupu yatolewayo na FAO Tanzania kwa Posts za Programme officers kwa mwezi au Mwaka kwa local staff.
 
Katika UN system, mishahara ya national staff ni tofauti sana na international staff kwa ngazi yoyote ile.

Kama unanegotiate mshahara na FOA au UN agency yoyote, uwe smart na usifanye kosa kujirahisisha maana ukiisha anza kazi sahau kure-negotiate mshahara.
Ebu bofya hapo: UN Salaries-Tanzania
 
Asante nyami kwa taarifa. je watu wao wakisafiri huwa wanapewa perdiem na accomodation au wanatumia mshahara
 
Perdiem katika UN zinaitwa Daily Subsistence Allowance (DSA).

Waajiriwa wote katika ngazi zote wakisafiri, rate ya DSA ni moja. Kwa lugha nyingine, hakuna cha mkubwa na mdogo mnapokuwa katika safari za kikazi. Dereva anapata DSA sawa na Resident Representative wakiwa safari moja. DSA rates za UN ni nzuri sana ukilinganisha na employers wengi hapa nchini. Pia zinategemeana na exchange ya US $ ya mwezi husika na hulipwa ktk local currency.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom