HIvi ukiwa na serikali inyoogopa baadhi ya watu, solution ni kuwamaliza tu wanyonge. Jairo yuko wapi? Luhanjo wanasubiri hadi muda wake uishen ajiondokee mwenyewe! Leo wanatarget waalimu ambao mishahara yao ya miaka mitatu ni posho za mbunge za mwezi mmoja! watapata nini jamani?