Mishahara hewa yaligharimu taifa-Mwigulu

Mishahara hewa yaligharimu taifa-Mwigulu

KAMJUS

Member
Joined
Mar 16, 2012
Posts
83
Reaction score
16
Wadau Naibu wazir wa fedha yupo clouds fm antema cheche. Anasema ndani ya mwezi mmoja tu wamegundua mishahara hewa ya watu 14,000 sawa na sh 40bilion!

Mwigulu anaongeza kuwa endapo katiba itapita atawashawish wabunge watunge sheria kali dhidi ya wakwepa kodi na wabadhilifu wa kodi za walalahoi.

Akiri kuwa kuna uwezekano wa watu wezi kuwa huonga ili kushinda kesi ndo maana mara nyingi kesi za serikali hushindwa utadhani hawana mawakili. sababu kuu ni kwamba wahujumu ama watuhumiwa hawawekwi ndani kabla ya kesi kuanza.

Atoa mfano wa watu wenye majengo ya biashara maghorofa hawalipi kodi ila mamalishe ndo wanalipa.

Ama hakika Mwigulu ni mwanamapinduzi sema mfumo unambana!

Nawasirisha....
 
40bn wastage per month/ much much talking / mr mwigulu act now kwa hilo! haya mengine mnaweza kuyakazia polepole mishahara hewa ni JANGA HILO fedha hizo zingeweza saidia hata kukopesha VIJANA AU KUFUNGUA BANK YA "TANZANIA YOUTH AND EMPOWERING BANK"kuondoa wingi wa watu hasa vijana kukosa AJIRA,futeni payroll zote zilizopo ANDIKISHENI NA KUHAKIKI UPYA WATUMISHI WA NGAZI ZOTE HATA WA HALIMASHAURI ZETU,kila siku hadithi hadithi hadithi
 
Kama issue hii ni ya kweli basi watanzania Tunahali ngumu sana kuhusu wizi wa fedha kupitia mishahara hewa hiyo ya Tsh 40bn/=,je,vyombo vya kudhibiti wizi huo viko wapi? Wizi wa fedha za umma kupitia mishahara isiyo na watumishi Halisi ni HATARI, chukua hatua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom