Kitilya na wewe mwenyewe ni tatizo kubwa katika ukusanyaji wa mapato kwa mfani ulishindwa kukusanya kodi ya shilini bilioni 500 baada ya Airtel kuinunua Zain. Umekuwa mstari wa mbele kuifanya TRA kama kitengo cha chama cha magamba na kumshupalia Dr Slaa badala ya kufuatilia wakwepa kodi wa kubwa wanaoikosesha nchi mapato ya mabilioni . Umekuwa kimya mno! kuhusiana na misamahama mikubwa ya kodi inayozidi kuongezeka bila kuishauri Serikali ifute misamaha hiyo hasa kwa makampuni ya nje yakiwemo yale yanayochomba madini. Kazi ya kuiendesha TRA imeshinda na hii siyo siri.