toka watoe masharti kwa nchi zote ambazo ni wanachama wa jumuiya ya madola juu ya ushoga nilitegemea viongozi wa chadema watakemea kauli ile ya cameroon lakini mpaka leo wamekaa kimya je ndio tuseme chadema wanaunga mkono ushoga au nao wanaogopa wakikemea misaada itasitishwa, watanzania tunasubiri kauli ya viongozi wa chadema.