Mipango ya kumkwamisha magufuli hadharani.

kamati ya ufundi

JF-Expert Member
Sep 30, 2014
416
439
800836a3a17af122b94305df3d078f62.jpg
 
Katika vipindi vyote vya uongozi wa ccm kipindi hiki ccm wamekalia jiko, wakitaka unafuu wampe seif inchi yake au wakomae lakini bajeti itabakia kwenye makaratasi mpaka miaka mitano iishe
 
Anatafuta visingizio vya kwanini development budget amepata 34%, huyu bwana naona anakimbizana na kivuli chake
 
Ukurupukaji, kutoambilika( kutopangiwa) hata na wataalamu/washauri ndo matokeo haya.Msijifanye watetezi.Kwani kasema amekwama?
 
Yy si ndie rais Hakuna mwingine si kasema hivyo? Kila kitu anajua yy si ndio hata kumkwamisha si ameshajua wanamkwamisha basi amejua Hakuna kukwamishwa tena!! Akili nyingi huondoa maarifa anajikwamisha mwenyewe na majani yake anayopigaga
 
Yy si ndie rais Hakuna mwingine si kasema hivyo? Kila kitu anajua yy si ndio hata kumkwamisha si ameshajua wanamkwamisha basi amejua Hakuna kukwamishwa tena!! Akili nyingi huondoa maarifa anajikwamisha mwenyewe na majani yake anayopigaga
Kwahiyo,anapiga kajani kidogo,oooh
 
Seifu kashika nyeti za MTU,mama seifu legeza,japokuwa wanafanya maigizo,lakini lakini sura zao zinaonyesha mikunjo ya maumivu huku wakidai watu wachape kazi
 
Back
Top Bottom