D doxtgblaze Senior Member Joined Feb 2, 2010 Posts 115 Reaction score 5 Sep 24, 2014 #1 Ninauza mini pajero ipo kwenye hali nzuri.. Haina tatizo lolote lengo la kuuza nataka kununua gari nyingine ya familia bei milioni saba.... 7milion maelewano yapo sumu 0657088003 tafadhali usibeep hii ni kwa watu walio sereous tu karibuni Attachments god.jpg 56.8 KB · Views: 141
Ninauza mini pajero ipo kwenye hali nzuri.. Haina tatizo lolote lengo la kuuza nataka kununua gari nyingine ya familia bei milioni saba.... 7milion maelewano yapo sumu 0657088003 tafadhali usibeep hii ni kwa watu walio sereous tu karibuni
J JS Farms Member Joined Oct 17, 2011 Posts 71 Reaction score 132 Sep 24, 2014 #2 inafaa kwa ajili ya barabara za mashambani? mwisho kabisa inashuka hadi ngapi? ulaji wa mafuta upoje?
inafaa kwa ajili ya barabara za mashambani? mwisho kabisa inashuka hadi ngapi? ulaji wa mafuta upoje?
A Aika Mndumii Senior Member Joined Jan 19, 2013 Posts 164 Reaction score 47 Sep 24, 2014 #3 - Ya mwaka gani? - Imeingizwa bogo lini? - Ina KM ngapi Fungukazaidi na pia wa pichaza kutosha