Oya sijakuelewa umesema inakuja na external fan yake?.ebu nieleweshe vizuri,,mie mteja
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
ASUS X101CH NOTEBOOK
2GB RAM
280GB HARD DISK DRIVE (HDD)
1.6GHz PROCESSOR
INAKUJA NA EXTERNAL FAN YAKE
BRAND NEW!!!
BEI NI 290,000/ (FIXED)
NIPO DAR ES SALAAM
Ni PM kama upo interersted
SERIOUS BUYERS ONLY
Mkuu ndo maana nimetoa jina na model ya hiyo laptop ili uingie GOOGLE na kuicheck. Nimeshindwa kuweka picha
Mkuu ndo maana nimetoa jina na model ya hiyo laptop ili uingie GOOGLE na kuicheck. Nimeshindwa kuweka picha
Hii siyo lugha ya kiungwana na malezi bora!Maliza kunya uje kupost vizuri
ASUS X101CH NOTEBOOK
2GB RAM
280GB HARD DISK DRIVE (HDD)
1.6GHz PROCESSOR
INAKUJA NA EXTERNAL FAN YAKE
BRAND NEW!!!
BEI NI 290,000/ (FIXED)
NIPO DAR ES SALAAM
Ni PM kama upo interersted
SERIOUS BUYERS ONLY
kwa nn usinirahisishie mie mteja kwa kuweka picha ya hyo device,customer care ni muhimu sana mkuu,huoni utakuwa unamsumbua mteja?,anyway,basi ungeweka link yenyewe kabisa angalau tungeweza kwenda huko,sasa wewe unaniambia niende google kwani hujui huko kila mtu anaweka mitakataka yake?
Sawa mkuu nimekuelewakwa nn usinirahisishie mie mteja kwa kuweka picha ya hyo device,customer care ni muhimu sana mkuu,huoni utakuwa unamsumbua mteja?,anyway,basi ungeweka link yenyewe kabisa angalau tungeweza kwenda huko,sasa wewe unaniambia niende google kwani hujui huko kila mtu anaweka mitakataka yake?