INAUZWA Mini Drones kwa bei nafuu

Mafian cartel

JF-Expert Member
Nov 19, 2021
3,604
6,610
Jipatie Drone upae angani kwa bei nafuu

Drone ina Sifa zifuatazo


Drone ni ya kuchaji

Inaenda umbali wa meter 200

Drone ina Camera

Unaweza kuunganisha camera ya Drone na wifi ya simu yako na ukarekodii videos na picha(App controlled FPV)

Anatumia mtu wa umri wowote

Kumiliki Drone hii hauhitaji kibali kutoka Mamlaka ya Anga Tanzania

Drone inakuja vitu vifuatavyo

Original Box
Remote control
Batteries
USB Cable
Extra propellers
Screw Driver
Propellers protectors

Operating instructions

Price:170,000/=

Tunapatikana Tabata Dar es salaam

Tunafanya delivery popote Tanzania

Call/Whatsapp;0764108259


-10897140451603785339.jpg
 
Kwa nini hii haihitaji vibali vya TCAA?

Si hata kurusha tiara/ kite kwa sasa mpaka uwe na makaratasi ya mamlaka
Hauhutaji vibali kwa sababu sheria za TCAA zinatoa vibali kwa drone zinazoanzia na uzito kwa Kg 7 na kuendelea

Drone yetu ina uzito wa Gram 59 ikiwa yenyewe na ikiwa kwenye storage bag total weight ni 269 grams so hauhitaji kibali
 
Back
Top Bottom