Mind control (udhibiti wa akili)

najua hivi vitu vinaendana kabisa unapofikiria na kuamua kile uchokichagua huenda kukaa kwenye jumba la ufahamu hivyo ufahamu ni kitu kilichopita[experiences] ila akili inaishi katika now,present and future whetever you choose ni akili ila yenyewe inachota maamuzi kutoka kwenye fahamu.

binadamu hawezi kuwa huru,hawezi kujifahamu yeye nani na akijifahamu atazidi kutaka kujua yeye nani mwisho atakuwa mchawi tu ndiyo maana tumewekwa kwenye mafungamano ya imani ili kudhibiti hali ya ubinadamu.
 
Ukweli unatisha sana.

Shida yangu kwako dokta ni yale madonge unayowapa watu kule hospitali, hivi unaona ni sawa au unatuchezea akili dokta wangu?
Hahaha na Sasa hivi tumeshaingia mpaka kwa waganga wa Kienyeji Tumetoa Muongozo wa Kutibu kwa kutumia Mitishamba au hujui!?..
😅😅

Kote kote tupo..asiye fata Kukiona cha mtema kuni 🤣🤣 ole wake mganga wa jadi asifate


Kwa mfano hapo Mtu akija na Gauti Kwa mganga wa kienyeji Muongozi unasema awe amepimwa na majibu kweli yamekuja Uric zimezidi..

Anatakiwa kupewa dawa zifuatazo..

Sindu vijiko viwili unachanganya na maji anakunywa asubuhi na jioni kwa siku saba..

Au Manjano (Ile inafanana na Tangawizi) Vijiko viwili mara mbili kwa siku kwa siku 30
 
Dokta hizi GUIDELINES ndio zinawaingiza chaka.
 
Hizo sio zetu tumewapa Hao waganga wa kienyeji na wenyewe watibu kwa miongozo haiwezekani mwingine atumie mwarobaini huku mwingine atumie Madafu inatakiwa wote watibu kwa madafu au mwarobaini
🤣🤣🤣 ila kiukweli bora madafu kuliko yale masumu mnayowalisha watu huko hospitali.

Kwanza madafu yana vitamin c. Ninaweza kuyafakamia hata hamsini kwa siku 😋😋 Usiombe ukutane na yale yanayouzwa kwenye mkokoteni... ni unabugia hadi unavimbiwa 😋😋😋

Hivi dokta wewe huwa ukiumwa unameza yale matakataka?
 
Ndyo dawa Zetu zinazotutibu
 
Njema sana....
Jamii forum....hadhi yake inaanza kurudi.
 
Akili kubwa sana mwamba , huu uzi ni mzuri sana , swali! nani wa kumfunga paka kengele???
 
Tuondoe mkuu Mimi Niko tayari
 
"You can't think of nothing"

It's letting the thoughts pass through your brain without engaging in them.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…