Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,811
- 6,506
Mkuu Kitila,
Huyu mwanachama wenu anatakiwa kuelemishwa kama ulivofanya hapa chini na sio kubezwa kama wanavyofanya wengine hapa.
Mwanachama amefanya la maana kuwakilisha tatizo walilo nalo huko kwao. Inawezekana tatizo ni matokeo ya wao wenyewe kutokuelewa mifumo ya uongozi. Lakini kwasababu ameamua kulisema tatizo lao; mimi ningetegemea CHADEMA wenye uelewo wamwelemishe huyu jamaa kwa lugha isiyo na kubeza au vijembe. Kwamba hata yeye kama ameweza kufikisha ujumbe hapa tayari ni kiongozi na awakusanye wenzake wote ili waunde uongozi hapo hapo walipo.
Uelewo wa watu wetu bado mdogo sana, sio kwenye masuala ya siasa tu bali hata kwenye masuala ya uchumi wao. Kuna fursa zingine wanazo lakini wanashindwa kuzitumia. Ni vizuri tuwe wapole na kuwaelemisha na sio kuwabeza au kuwatumia maneno makali.
Ni ushauri kwa mzee mwenzangu maana sisi wa zamani tulikuwa na hamu ya kuelemishnaa na kufundishana hapa JF.
Wewe kweli ni Sumu.CHADEMA mnahitaji wanachama kama huyu aliyeanzisha hii thread, siyo hawa wachumia tumbo tuliowazoea hapa jamvini.Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Huu ni ushamba wa hali ya juu! Unashangaa nini kutokuwepo kiongozi wakati wewe upo na si kiongozi? Anza wewe halafu ndio ushangae wengine!!?
Mim ni mwanaCHADEMA mzuri natokea Moshi Vijijini kata ya Uru Mashariki naishangaa CHADEMA kwani huwezi kuamini pamoja na umaarufu wote huo CHADEMA haina viongozi wa chama ndani ya kata nzima ukiacha mwenyekiti wa kijiji cha Mwasi Kaskazini wanamwita Dr. Maliboro.
Ndani ya kata nzima hakuna kiongozi yeyote na ukizingatia mwaka kesho ni uchaguzi wa serikali za mitaa ni nani anayefanya maandalizi ya viongozi hao au mnasubiri muje na zile kampeni za zimamoto yeyote atakae jitokeza kugombea nafasi yoyote mnampa hata kama hafai halafu akishindwa mnakuja na kauli za kuibiwa kura kumbe mlisimamisha watu wasiofaa mbele ya jamii.
KAMA NIMEDANGANYA ANAEMJUA KIONGOZI YEYOTE WA CHADEMA NDANI YA KATA HII ANITAJIE HAPA
CHADEMA mnahitaji wanachama
kama huyu aliyeanzisha hii thread, siyo hawa wachumia tumbo tuliowazoea
hapa jamvini.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Chama cha msimu
Sio kila mtu mwanasiasa bana, kuna wengine ni bora kubaki wanachama kwa sababu wanajijua kuwa siasa hawaziwezi, na sio kila mtu anaweza kuwa kiongozi, tunaona matokeo ya kupewa yeyote kwasababu alikuwepo peke yake. CDM lazima mbadilike, tunaona vyeo vinavyo gaiwa kwa vingozi wale wale sasa hata viongozi wa kata mnataka kufanya hayo hayo. Mwisho mnabaki kufukuza watu hovyo.Huu ni ushamba wa hali ya juu! Unashangaa nini kutokuwepo kiongozi wakati wewe upo na si kiongozi? Anza wewe halafu ndio ushangae wengine!!?
Mliweza kufika UK na kufungua tawi na kuweka vingozi wa kila aina,kilimanjaro imeshindikana, hii ni kali.siyo moshi ...tunazungumzia kata...halafu kuna aibu gani hapa, je kunachama kilichojengwa kwa muda mfupi tu kikawa na mwakilishi kila mahali, hata Obama pamoja na mamilioni ya fedha ya kampeni kuna baadhi ya vitongoji hakufikia...lakini kwa hili la mezani, km yupo mwanachama mmoja basi ndio chama kimefika katani humo
CHADEMA mnahitaji wanachama kama huyu aliyeanzisha hii thread, siyo hawa wachumia tumbo tuliowazoea hapa jamvini.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Teh, teh, teh!!, mkuu,
mbona akina Ritz hawaimbi nyimbo za kumsifia mbowe na slaa
hawajala ban?, Mbona kuna masalia kibao akina Shonza na wenzake
wanawatukana hao akina slaa na mbowe na wanadunda mitaani?!,
nikukumbushe tu kuwa hadi akina Nnape na Nchemba ​ni
wanachama wa mtandao huu, unamaanisha nao huwasifia mbowe na slaa?, acha
kudhalilisha watu mkuu.
Mim ni mwanaCHADEMA mzuri natokea Moshi Vijijini kata ya Uru Mashariki naishangaa CHADEMA kwani huwezi kuamini pamoja na umaarufu wote huo CHADEMA haina viongozi wa chama ndani ya kata nzima ukiacha mwenyekiti wa kijiji cha Mwasi Kaskazini wanamwita Dr. Maliboro.
Ndani ya kata nzima hakuna kiongozi yeyote na ukizingatia mwaka kesho ni uchaguzi wa serikali za mitaa ni nani anayefanya maandalizi ya viongozi hao au mnasubiri muje na zile kampeni za zimamoto yeyote atakae jitokeza kugombea nafasi yoyote mnampa hata kama hafai halafu akishindwa mnakuja na kauli za kuibiwa kura kumbe mlisimamisha watu wasiofaa mbele ya jamii.
KAMA NIMEDANGANYA ANAEMJUA KIONGOZI YEYOTE WA CHADEMA NDANI YA KATA HII ANITAJIE HAPA