Mim ni mwanachadema mzuri natokea moshi vijijini kata ya Uru mashariki naishangaa chadema kwani huwezi kuamini pamoja na umaarufu wote huo chdema haina viongozi wa chama ndani ya kata nzima ukiacha mwenyekiti wa kijiji cha mwasi kaskazini wanamwita dr maliboro ndani ya kata nzima hakuna kiongozi yeyote na ukizingatia mwaka kesho ni uchaguzi wa serikali za mitaa ni nani anayefanya maandalizi ya viongozi hao au mnasubiri muje na zile kampeni za zimamoto yeyote atakae jitokeza kugombea nafasi yoyote mnampa hata kama hafai halafu akishindwa mnakuja na kauli za kuibiwa kura kumbe mlisimamisha watu wasiofaa mbele ya jamii. KAMA NIMEDANGANYA ANAEMJUA KIONGOZI YEYOTE WA CHADEMA NDANI YA KATA HII ANITAJIE HAPA
Mkuu CHADEMA KILIMANJARO IMELALAChadema hata wakisimamisha jiwe huko uru litashinda
Tatizo ni wewe play your partMim ni mwanachadema mzuri
natokea moshi vijijini kata ya Uru mashariki naishangaa chadema kwani
huwezi kuamini pamoja na umaarufu wote huo chdema haina viongozi wa
chama ndani ya kata nzima ukiacha mwenyekiti wa kijiji cha mwasi
kaskazini wanamwita dr maliboro ndani ya kata nzima hakuna kiongozi
yeyote na ukizingatia mwaka kesho ni uchaguzi wa serikali za mitaa ni
nani anayefanya maandalizi ya viongozi hao au mnasubiri muje na zile
kampeni za zimamoto yeyote atakae jitokeza kugombea nafasi yoyote mnampa
hata kama hafai halafu akishindwa mnakuja na kauli za kuibiwa kura
kumbe mlisimamisha watu wasiofaa mbele ya jamii. KAMA NIMEDANGANYA
ANAEMJUA KIONGOZI YEYOTE WA CHADEMA NDANI YA KATA HII ANITAJIE
HAPA
Makelele na bazil lema ni matapta wamepewa vyeo kwa kujuana hata bavicha hamna
Mkuu CHADEMA KILIMANJARO IMELALA
Mim ni mwanachadema mzuri natokea moshi vijijini kata ya Uru mashariki naishangaa chadema kwani huwezi kuamini pamoja na umaarufu wote huo chdema haina viongozi wa chama ndani ya kata nzima ukiacha mwenyekiti wa kijiji cha mwasi kaskazini wanamwita dr maliboro ndani ya kata nzima hakuna kiongozi yeyote na ukizingatia mwaka kesho ni uchaguzi wa serikali za mitaa ni nani anayefanya maandalizi ya viongozi hao au mnasubiri muje na zile kampeni za zimamoto yeyote atakae jitokeza kugombea nafasi yoyote mnampa hata kama hafai halafu akishindwa mnakuja na kauli za kuibiwa kura kumbe mlisimamisha watu wasiofaa mbele ya jamii. KAMA NIMEDANGANYA ANAEMJUA KIONGOZI YEYOTE WA CHADEMA NDANI YA KATA HII ANITAJIE HAPA
Mim ni mwanachadema mzuri natokea moshi vijijini kata ya Uru mashariki naishangaa chadema kwani huwezi kuamini pamoja na umaarufu wote huo chdema haina viongozi wa chama ndani ya kata nzima ukiacha mwenyekiti wa kijiji cha mwasi kaskazini wanamwita dr maliboro ndani ya kata nzima hakuna kiongozi yeyote na ukizingatia mwaka kesho ni uchaguzi wa serikali za mitaa ni nani anayefanya maandalizi ya viongozi hao au mnasubiri muje na zile kampeni za zimamoto yeyote atakae jitokeza kugombea nafasi yoyote mnampa hata kama hafai halafu akishindwa mnakuja na kauli za kuibiwa kura kumbe mlisimamisha watu wasiofaa mbele ya jamii. KAMA NIMEDANGANYA ANAEMJUA KIONGOZI YEYOTE WA CHADEMA NDANI YA KATA HII ANITAJIE HAPA