kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,368
Mwaka 2021 nilipost uzi fulani hapa kuwa kwa jinsi ninavyo ona Fiston Mayele wa Yanga na nyota yake kuna uwezekano mkubwa Fiston kuwa mchezaji maarufu na hatari zaidi Africa mzima.
Watu walibisha sana nikatukanwa, wengine wakasema mimi siyo Manara au Kikwete kwa hiyo sina akili, lakini kadiri siku zinavyozidi kusogea nilichokisema kinaenda na kutimia pole pole.
Kwasasa Fiston Mayele sio maarufu Tanzania tu, kwasasa ni Africa. Hakuna page yeyote Africa ambayo hawapost habari za Fiston Mayele. Nenda kwa Waarabu ni Fiston na ukibisha nakupeleka kwenye page zao.
Kwa Wafaransa ni Fiston kwa wangereza ni Fiston! Mpaka kwasasa imefika hatua Fiston Mayele kulinganishwa na wachezaji wa Ulaya.
Watu walibisha sana nikatukanwa, wengine wakasema mimi siyo Manara au Kikwete kwa hiyo sina akili, lakini kadiri siku zinavyozidi kusogea nilichokisema kinaenda na kutimia pole pole.
Kwasasa Fiston Mayele sio maarufu Tanzania tu, kwasasa ni Africa. Hakuna page yeyote Africa ambayo hawapost habari za Fiston Mayele. Nenda kwa Waarabu ni Fiston na ukibisha nakupeleka kwenye page zao.
Kwa Wafaransa ni Fiston kwa wangereza ni Fiston! Mpaka kwasasa imefika hatua Fiston Mayele kulinganishwa na wachezaji wa Ulaya.