Mimi ni msichana, natafuta mchumba

Mimi ni msichana,umri wangu ni miaka 25,nafanya kazi shirika binafsi, elimu yangu ni chuo kikuu, natafuta mchumba sijagui kabila wala rangi,awe na umri kuanzia miaka 28-33,elimu chuo kikuu,pm please
Duuh!! Saivi vigezo kila mahali... Hapo na mahari shingap ili tujipange kabisaa
 
Jamani mi wa la saba.lakini mambo yangu kichuo chuo tu yaani hata jf nimejiunganisha mwenyewe kubali basi uonje show zetu wa mtaani
 
Mi natafuta mwanamke wa kurudha nae roho only one nyt awe sigara nyota
 
Wewe huchukuliaje bf na gf? Mi naona kuwa hiyo ni idara ya kusaidiana tu yaani kupunguziana mate yasijeleta athari kwenye miili yao.
Ndo maana wenyewe huvaa kinga kila wakutamapo kusije tokea makandokando ya kibahati mbaya hivi ikawa taabu.
Bf au Gf akiona vipi hujiunga na mwingine aliye tiyari kuoa.

Mmmmmh mwanaume miaka 30 huna hata girlfriend
 

Asante mpendwa lakini sijakuuliza
 

avatar yko imenikumbusha enz hzo chuon mwanza
 
Mimi ni msichana,umri wangu ni miaka 25,nafanya kazi shirika binafsi, elimu yangu ni chuo kikuu, natafuta mchumba sijagui kabila wala rangi,awe na umri kuanzia miaka 28-33,elimu chuo kikuu,pm please
Mimi nina vigezo vyote ivyo ila nakupa kaz kidogo nifate inbox
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…