Mimi ni interior designer, mambo ya mapazia sofa

maneno matupu we vp mbona husomeki mtafute spade akufundishe kazi
 
Inategemea na aina ya material ya kitambaa, pia ni lazima niende kwa mteja nipime dirisha alafu nimshauri design gani inapendeza kwake. Maana lazima niangalie sofa ,rangi gani tiles na ukuta pia maana unaweza kuweka rangi ndani kukawa giza tupu.
 
Wewe ni nani hasa, ni fundi wa furniture, ni muuzaji wa furniture na mapazia. Au ni interior designer? Kama ni interior designer umesomea wapi na kwa ngazi gani?
 
hongera nitakutafuta mkuu je ukija unachaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…