Mimi ni doctor natafuta girlfriend

Mimi ni doctor natafuta girlfriend

ze jj

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
522
Reaction score
630
Habari za usiku wana Mmu. Mimi ni Daktari mwanafunzi Chuo cha udakitari Bugando. Natafuta girlfriend awe na umri wa Miaka 18 hadi 24. Mawasiliano zaidi namba yangu ni 0652776485. Picha yangu ni Pm nitakutumia. Awe mrembo na awe na Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
 
Kaka mbona bugando apo kuna maduu wa ukweli wa kila aina na rangi mpaka uje uku,
 
Nawewe daktari mtarajiwa??? wonders shall never end ' in naija voice'
 
Madokta si mmefungiwa na serikali? Kwa sababu ya albino
 
Unatoa kiasi gani kwa dalali?

Habari za usiku wana Mmu. Mimi ni Daktari mwanafunzi Chuo cha udakitari Bugando. Natafuta girlfriend awe na umri wa Miaka 18 hadi 24. Mawasiliano zaidi namba yangu ni 0652776485. Picha yangu ni Pm nitakutumia. Awe mrembo na awe na Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
 
Habari za usiku wana Mmu. Mimi ni Daktari mwanafunzi Chuo cha udakitari Bugando. Natafuta girlfriend awe na umri wa Miaka 18 hadi 24. Mawasiliano zaidi namba yangu ni 0652776485. Picha yangu ni Pm nitakutumia. Awe mrembo na awe na Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea.

buku kwanza mkuu.nwau kila la kheri
 
Habari za usiku wana Mmu. Mimi ni Daktari mwanafunzi Chuo cha udakitari Bugando. Natafuta girlfriend awe na umri wa Miaka 18 hadi 24. Mawasiliano zaidi namba yangu ni 0652776485. Picha yangu ni Pm nitakutumia. Awe mrembo na awe na Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea.

Kumbe Bado Hata Hujawa Doctor Sasa Unachohangaika Ni Nini? Soma Kwanza Kijana Hawa Totoz Wapo Tu Hawaishi. Mwisho Naomba Kukuuliza Je Daktari Mtarajiwa Mwanamke Mrembo Kwako Wewe Ni Yupi au Aweje? Fafanua Nikusaidie.
 
Kumbe Bado Hata Hujawa Doctor Sasa Unachohangaika Ni Nini? Soma Kwanza Kijana Hawa Totoz Wapo Tu Hawaishi. Mwisho Naomba Kukuuliza Je Daktari Mtarajiwa Mwanamke Mrembo Kwako Wewe Ni Yupi au Aweje? Fafanua Nikusaidie.

Mzuri wa sura, tabia na mwenye.kujielewa.
 
''Mimi ni Daktari mwanafunzi Chuo cha udakitari Bugando''.... Hii sentensi itakukosesha mke, Wanawake wa siku hizi wanapenda watu wanaonyoosha maelezo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom