Mimi ndio maana huwa nashindwa ku-comment RIP

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,311
152,112
Kwa huu unyama tunaoushudia mimi ndio maana siku zote huwa nashindwa ku-comment RIP watu fulani fulani wanapotangulia mbele za haki na kwakweli hizi comments binafsi huwa zina ni kera sana.

Ingawa kila siku tuko makanisani na misikitini tukijidai tunaenda kumuomba Mungu lakini sisi binadamu ni viumbe wenye roho mbaya na makatili kuliko hata wanyama.

Binadamu wa leo tumepoteza utu tumekuwa kama mashetani na tuna roho mbaya kuliko hata Ibilisi.

Kwa mfano,angalia comments za watu wanaotetea huu unyama kisa tu wana mahusiano au wa na namna wanavyofaidika na uwepo wa watu wanaohusika na huu unyama.Huu ni ubinafsi mbaya sana wa kiwango cha ushetani na watu hawa baadhi yao kila Ijumaa au Jumapili utawaona wakielekea kwenye nyumba za Ibada eti wanakwenda kusali.

Wanaoyatenda haya wanajulikana na wala hayakuanza leo bali huu ni utamaduni wao wa muda mrefu na wanachofanya ni kuuendeleza tu kwahiyo hapa hakuna jipya.

Cha ajabu na kusikitisha,watu wa aina hii na wale wote wanaotetea huu unyama kesho na keshokutwa Mungu akiwachukua utaona watu wako busy ku-comment RIP!!!.

Binafsi ningekuwa mmiliki wa mitandao kama hii,ningezuia kabisa neno hili la "RIP" kuandikwa katika mtandao wangu maana sisi wanadamu ni wanafiki sana na tunathamini binadamu kulingana na nafsi zao katika jamii bila kujali ni namna gani waliishi katika huu ulimwengu.

Hakuna mwenye haki ya kuhukumu mwingine lakini vitabu vitakatifu vinatueleza wazi ukishakufa kama hukutubu madhambi yako hakuna kitakachobadilika hivyo neno hili la RIO ni unafiki mtu na kwakweli linakera pale linapotumika kwa watu waliotendea binadamu wenzao unyama kwa maslahi yao.

Ni bora mnyama asie na dini kuliko baadhi ya sisi binadamu tunaojazana katika nyumba za ibada tukijidai kumuabudu Mungu wakati ni wanafiki wakubwa.
 
Nafikiri ni mila tu za kiafrika kama marehemu haitakiwi kusemwa vibaya!
Ila tunakoelekea huu unafiki wa mtu kunyanyasa wenzie kwa makusudi na hali akiwa na akili timamu na akifa tujifanye kama alikuwa mwema na tunatakiwa tuelezee mazuri yake tu hii haivumiliki!
Ingawa wote tunamapungufu.......ila kwasasa hatuna budi kuzungumza ukweli ili kizazi kijacho kiendelee kujifunza kama tutende mema hakuna anayeishi milele
 
Kwakeli magamba akidondoka wala sifikilii mara mbili final destination yao mbona iko wazi kabisa, maandiko yanasema mtawajua kwa matendo yao.

Wee wanampigisha kura marehemu halafu bado unaleta unafiki.

Unajua nilikuwa sifahamu kwanini Yesu wa Nazareth alisema heri ya mchawi kuliko mnafiki, ila sasa it is crystal clear.

Ishi kwingi kuona mengi.
 
Unafiki ndio umesababisha Lowasa akakosa Urais...CHADEMA mmemtukana Lowasa kwa miaka nane kuwa ni mwizi, fisadi mpaka Watanzania wakawaamini na kumchukia leo mnatuambia ni mtu safi....CHADEMA ni wakuogopwa kama ukoma
 
Unafiki ndio umesababisha Lowasa akakosa Urais...CHADEMA mmemtukana Lowasa kwa miaka nane kuwa ni mwizi, fisadi mpaka Watanzania wakawaamini na kumchukia leo mnatuambia ni mtu safi....CHADEMA ni wakuogopwa kama ukoma
Hujawahi Kutumia akili kwenye kucomment hata Siku moja.
 
Unafiki ndio umesababisha Lowasa akakosa Urais...CHADEMA mmemtukana Lowasa kwa miaka nane kuwa ni mwizi, fisadi mpaka Watanzania wakawaamini na kumchukia leo mnatuambia ni mtu safi....CHADEMA ni wakuogopwa kama ukoma
Lowassa aliwafanya nini CCM?!Mbona kila kitu Lowassa?Nyie mbona mnapokea wanaotaka upinzani kama kina Moses Machali waliokuwa wanawakandia Bungeni na majukwaani?
 
Lowassa aliwafanya nini CCM?!Mbona kila kitu Lowassa?Nyie mbona mnapokea wanaotaka upinzani kama kina Moses Machali waliokuwa wanawakandia Bungeni na majukwaani?
Machali amepewa nafasi ya kugombea urais? Dr. Slaa aliipigania sana CHADEMA pamoja na ZITO ndio walifaya CHADEMA ikapata umaarufu na kukubalika na watu wengi mkawafukuza mkabeba Lowasa aliekataliwa na CCM kwa kashfa ya ufisadi.....hilo kosa ndio linawatafuna mpaka leo hii hamuaminiki kabisa na Watanzania
 
Machali amepewa nafasi ya kugombea urais? Dr. Slaa aliipigania sana CHADEMA pamoja na ZITO ndio walifaya CHADEMA ikapata umaarufu na kukubalika na watu wengi mkawafukuza mkabeba Lowasa aliekataliwa na CCM kwa kashfa ya ufisadi.....hilo kosa ndio linawatafuna mpaka leo hii hamuaminiki kabisa na Watanzania
Unaijuaje kesho yake, usiishi kwa kukarri, kwanza unaonesha uko rigid haubadrriki na haujui nn maana ya siasa
 
Kwa huu unyama tunaoushudia mimi ndio maana siku zote huwa nashindwa ku-comment RIP watu fulani fulani wanapotangulia mbele za haki na kwakweli hizi comments binafsi huwa zina ni kera sana.

Ingawa kila siku tuko makanisani na misikitini tukijidai tunaenda kumuomba Mungu lakini sisi binadamu ni viumbe wenye roho mbaya na makatili kuliko hata wanyama.

Binadamu wa leo tumepoteza utu tumekuwa kama mashetani na tuna roho mbaya kuliko hata Ibilisi.

Kwa mfano,angalia comments za watu wanaotetea huu unyama kisa tu wana mahusiano au wa na namna wanavyofaidika na uwepo wa watu wanaohusika na huu unyama.Huu ni ubinafsi mbaya sana wa kiwango cha ushetani na watu hawa baadhi yao kila Ijumaa au Jumapili utawaona wakielekea kwenye nyumba za Ibada eti wanakwenda kusali.

Wanaoyatenda haya wanajulikana na wala hayakuanza leo bali huu ni utamaduni wao wa muda mrefu na wanachofanya ni kuuendeleza tu kwahiyo hapa hakuna jipya.

Cha ajabu na kusikitisha,watu wa aina hii na wale wote wanaotetea huu unyama kesho na keshokutwa Mungu akiwachukua utaona watu wako busy ku-comment RIP!!!.

Binafsi ningekuwa mmiliki wa mitandao kama hii,ningezuia kabisa neno hili la "RIP" kuandikwa katika mtandao wangu maana sisi wanadamu ni wanafiki sana na tunathamini binadamu kulingana na nafsi zao katika jamii bila kujali ni namna gani waliishi katika huu ulimwengu.

Hakuna mwenye haki ya kuhukumu mwingine lakini vitabu vitakatifu vinatueleza wazi ukishakufa kama hukutubu madhambi yako hakuna kitakachobadilika hivyo neno hili la RIO ni unafiki mtu na kwakweli linakera pale linapotumika kwa watu waliotendea binadamu wenzao unyama kwa maslahi yao.

Ni bora mnyama asie na dini kuliko baadhi ya sisi binadamu tunaojazana katika nyumba za ibada tukijidai kumuabudu Mungu wakati ni wanafiki wakubwa.
Kila binadamu ana haki ya kumwambia amtakae Rest In Peace. Unataka kuniambia mama Jambazi mtoto wake akifariki atasemaje. Kwa hiyo nawe una uhuru wengine kuwaruka maana hiyo ni hiyari na si lazima!
 
Sasa unataka marehemu apumzike kwa vurugu au kwa shida... Amani inatosha tu.... By the way, msimpangie Mungu kazi yake..Anaehukumu ni yeye tu
 
Kwa huu unyama tunaoushudia mimi ndio maana siku zote huwa nashindwa ku-comment RIP watu fulani fulani wanapotangulia mbele za haki na kwakweli hizi comments binafsi huwa zina ni kera sana.

Ingawa kila siku tuko makanisani na misikitini tukijidai tunaenda kumuomba Mungu lakini sisi binadamu ni viumbe wenye roho mbaya na makatili kuliko hata wanyama.

Binadamu wa leo tumepoteza utu tumekuwa kama mashetani na tuna roho mbaya kuliko hata Ibilisi.

Kwa mfano,angalia comments za watu wanaotetea huu unyama kisa tu wana mahusiano au wa na namna wanavyofaidika na uwepo wa watu wanaohusika na huu unyama.Huu ni ubinafsi mbaya sana wa kiwango cha ushetani na watu hawa baadhi yao kila Ijumaa au Jumapili utawaona wakielekea kwenye nyumba za Ibada eti wanakwenda kusali.

Wanaoyatenda haya wanajulikana na wala hayakuanza leo bali huu ni utamaduni wao wa muda mrefu na wanachofanya ni kuuendeleza tu kwahiyo hapa hakuna jipya.

Cha ajabu na kusikitisha,watu wa aina hii na wale wote wanaotetea huu unyama kesho na keshokutwa Mungu akiwachukua utaona watu wako busy ku-comment RIP!!!.

Binafsi ningekuwa mmiliki wa mitandao kama hii,ningezuia kabisa neno hili la "RIP" kuandikwa katika mtandao wangu maana sisi wanadamu ni wanafiki sana na tunathamini binadamu kulingana na nafsi zao katika jamii bila kujali ni namna gani waliishi katika huu ulimwengu.

Hakuna mwenye haki ya kuhukumu mwingine lakini vitabu vitakatifu vinatueleza wazi ukishakufa kama hukutubu madhambi yako hakuna kitakachobadilika hivyo neno hili la RIO ni unafiki mtu na kwakweli linakera pale linapotumika kwa watu waliotendea binadamu wenzao unyama kwa maslahi yao.

Ni bora mnyama asie na dini kuliko baadhi ya sisi binadamu tunaojazana katika nyumba za ibada tukijidai kumuabudu Mungu wakati ni wanafiki wakubwa.
Pole RIP!
 
Sasa unataka marehemu apumzike kwa vurugu au kwa shida... Amani inatosha tu.... By the way, msimpangie Mungu kazi yake..Anaehukumu ni yeye tu
Ndio maana kuanzia sasa tutakuwa tunaandika kawekwe panako kusitahili kwa matendo yako yaki nyama !!!:):)
 
Hili neno RIP halina maana yoyote!! Mtu akifa kama ni mwema ni mwema tu, kama ni mwovu ni mwovu tu. Huwezi kubadilisha status ya mfu ati kwasababu wewe uliye hai unamuombea, No. Wafu na walio hai tunasubiri hukumu siku ya mwisho Masihi atakapokuja. Tenda wema ungali hai, usisubiri uombewe baada ya kufa kwa kuwa ibada za kuwaombea wafu hazina msaada wowote kwa wafu.
 
Kwa huu unyama tunaoushudia mimi ndio maana siku zote huwa nashindwa ku-comment RIP watu fulani fulani wanapotangulia mbele za haki na kwakweli hizi comments binafsi huwa zina ni kera sana.

Ingawa kila siku tuko makanisani na misikitini tukijidai tunaenda kumuomba Mungu lakini sisi binadamu ni viumbe wenye roho mbaya na makatili kuliko hata wanyama.

Binadamu wa leo tumepoteza utu tumekuwa kama mashetani na tuna roho mbaya kuliko hata Ibilisi.

Kwa mfano,angalia comments za watu wanaotetea huu unyama kisa tu wana mahusiano au wa na namna wanavyofaidika na uwepo wa watu wanaohusika na huu unyama.Huu ni ubinafsi mbaya sana wa kiwango cha ushetani na watu hawa baadhi yao kila Ijumaa au Jumapili utawaona wakielekea kwenye nyumba za Ibada eti wanakwenda kusali.

Wanaoyatenda haya wanajulikana na wala hayakuanza leo bali huu ni utamaduni wao wa muda mrefu na wanachofanya ni kuuendeleza tu kwahiyo hapa hakuna jipya.

Cha ajabu na kusikitisha,watu wa aina hii na wale wote wanaotetea huu unyama kesho na keshokutwa Mungu akiwachukua utaona watu wako busy ku-comment RIP!!!.

Binafsi ningekuwa mmiliki wa mitandao kama hii,ningezuia kabisa neno hili la "RIP" kuandikwa katika mtandao wangu maana sisi wanadamu ni wanafiki sana na tunathamini binadamu kulingana na nafsi zao katika jamii bila kujali ni namna gani waliishi katika huu ulimwengu.

Hakuna mwenye haki ya kuhukumu mwingine lakini vitabu vitakatifu vinatueleza wazi ukishakufa kama hukutubu madhambi yako hakuna kitakachobadilika hivyo neno hili la RIO ni unafiki mtu na kwakweli linakera pale linapotumika kwa watu waliotendea binadamu wenzao unyama kwa maslahi yao.

Ni bora mnyama asie na dini kuliko baadhi ya sisi binadamu tunaojazana katika nyumba za ibada tukijidai kumuabudu Mungu wakati ni wanafiki wakubwa.
R.I.P mtoa mada halibadili chochote kwa marehemu zaidi ya heshima tu.

Na mauaji ya mwanadamu kwa mwanadamu hayakuanza leo kwa sisi tunaosoma Biblia kitabu cha Mwanzo Kaini alimuua nduguye Habili.

Na wakati huo maandiko yanasema Mungu alikuwa anaongea moja kwa moja na mwanadamu sembuse leo hii na maendeleo yote haya ya sayansi na technology.

Tusitake tu kuanzisha mada kama vile kuna mambo mapya na yaajabu hapa duniani wakati ni matukio ya kawaida tu kutoka huko nyuma.
 
Unafiki ndio umesababisha Lowasa akakosa Urais...CHADEMA mmemtukana Lowasa kwa miaka nane kuwa ni mwizi, fisadi mpaka Watanzania wakawaamini na kumchukia leo mnatuambia ni mtu safi....CHADEMA ni wakuogopwa kama ukoma

Wala husjali mkuu...ingawa jamaa hataki kulitumia neno R.IP ila mm wacha nikipe chama changu pendwa cha CHADEMA RIP njema mana kisha poteza mwelekeo na kinaenda kufa tu...RIP-CDM.
 
Back
Top Bottom