Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 7,210
- 12,711
Haya ndio matokeo ya kulelewa na single maza.... Mnaona familia ni kitu cha ajabu.Nitafuta watoto wangu ni walee mwenyewe,maana sitaki ndoa na sitaki usumbufu. Ila mademu nitaish nao ila sio ndoa
Kataa ndoa acha stress,kula bata maisha ni mafupi. Mama single faza Tanzania tupo na hatutaki ndoa,pia mimi nimelewa na mama nanitakuwa vice versa ya mama
Mtoto wa kiume hutaki stress umekuja duniani kufanya nini?