Ndo maana hata professional yangu sio ya kuongeaUnazungumziwa Ku-Date au kutongoza naona Kama unachanganyabvutu unasema unashangaa watu wakiwa Dating inamaana kutongoza kwako sio tatizo unaweza na unaye demu ila ujawai fanya Dating na kuongea kubadilishanana idea au sijaelewa
Nahisi Title ilibidi iwe hujui kutongoza
Then kutokuwa muongeaji sio excuse ya kutokuwa na mahusiano sisi wengine introvert na bado tunatonhoza na tuna Date, kujifanya sio muongeaji utapata shida hata baadhi ya kazi
Kijana mdogo sana .... Endelea kusubiri
Ajira ngumu mimi nafanya kazi nje ya professional yangu na ofisini bila kuongea huwezi kumejaa matani so ji position labda uwe na uhakika wa maishaNdo maana hata professional yangu sio ya kuongea
Uzuri m najua kuishi na watu tofauti tofauti na jinsi ya kuzoea mazingara, hii sio ngumu kwangu kiongoz niko vzuri kwenye hiloAjira ngumu mimi nafanya kazi nje ya professional yangu na ofisini bila kuongea huwezi kumejaa matani so ji position labda uwe na uhakika wa maisha
Anachekesha huyu balaaaisee, nacheka kama mazuri hivi... acha kutuenjoy bhana
Unaota wee, hebu amka utajikojolea buree.But i hope maybe muda ukifika nitapata ambaye atanipenda kwa dhati na tutapenda sababu pesa haijengi na mali havinunui upendo. Upendo huwa unakuwa ni natural pale ukipate aliye sahihi kwenye maisha yako kwenye raha na tabu
aah aah...Ni vumilie tu
kwa maana 👇basi tafuta hela na uache udomo zege. If u want something go for it.
Mimi nakwambia nini hii jinsia ya wenzetu wanapenda kusikia, suala la kuamua kufanya au kutokuamua itabaki kuwa juu yako. Kuwa mkweli uendelee kuteseka au kuwa muongo pro ule mema. Hiyo ni eksipiriensi ya miaka mingi.Mm katka maisha yangu huwa sipendi kufanya vtu vya uongo ili mradi tu nionekana, sipend fake life. Mi ni mtu ambaye mkweli na huwa sipend sana majivuno ambayo mm sina. Uongo mbaya
😂😂😂😂Anachekesha huyu balaa
ale vyuma hivyo
ashindwe yeye tu, tumempa mpaka notesale vyuma hivyo
Brooo jichanganye na watu wa rika lako au njoo pm utanishukuruHabari zenu wakuu
Mm ni kijana wa kiume, katika maisha yangu huwa nashaanga sana kuona kwamba watu huwa wana date. Unakuta mwamaume na mwanamke wako kwenye mahusiano wanaonhea zao na kufanya yao.
Kwa kweli kwa uoande wangu yaani hii kitu ni ngumu sana sio utani, sijawahii ku date japo huwa nataman sana niwe nami hata niwe na rafike wa kike ambaye nutakuwa nae tu share vitu fulani hv kwenye maisha hapa na pale ila siwezi.
Nilicho kuja kugundua kwangu laba ni kwasababu mm sio mtu sana wa kuongea na pia n mtu mkimya sana, sipend sana kuongea ila ni mtu ambaye nina upendo wa dhati na huruma sema sijui laba ni kauwoga au ndo kwamba kuto kujiamini.
Msaada wenu ni mbinu gani nitumie
Jinsi: kiume
Una umri gani?Habari zenu wakuu
Mm ni kijana wa kiume, katika maisha yangu huwa nashaanga sana kuona kwamba watu huwa wana date. Unakuta mwamaume na mwanamke wako kwenye mahusiano wanaonhea zao na kufanya yao.
Kwa kweli kwa uoande wangu yaani hii kitu ni ngumu sana sio utani, sijawahii ku date japo huwa nataman sana niwe nami hata niwe na rafike wa kike ambaye nutakuwa nae tu share vitu fulani hv kwenye maisha hapa na pale ila siwezi.
Nilicho kuja kugundua kwangu laba ni kwasababu mm sio mtu sana wa kuongea na pia n mtu mkimya sana, sipend sana kuongea ila ni mtu ambaye nina upendo wa dhati na huruma sema sijui laba ni kauwoga au ndo kwamba kuto kujiamini.
Msaada wenu ni mbinu gani nitumie
Jinsi: kiume