Mimi nanyimwa lakini wengine wanamegewa

kama kwenye picha ndo ww bas ndo maana anakupiga kalenda unaonekana mchicha mwiba !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
majira ndo yanaamua ni jinc gan 2ixh, maana hata makenz yalivaliwa japo wengne 2liyachukia...!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwana mdogo, iyo picha yako hapo juu nimechukua, niendege nikijifanya mimi ndio wew.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichogundua wewe ni mbinafsi...sasa kwanini umeweka picha yako tu?

Weka na ya kwake ukiambatanisha na number yake ya simu wadau wakamkanye aache tabia ya kuwasiliana na wanaume wengine
had iv xx hana phne coz nliichukua, piah pcha zake ckuwah kuwa nazo maana 2lizinguana mapema tyuuu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moderator nomba kabla hamjamkubalia member mpya kujiunga humu, please wafanyieni interview kwanza. Aibu ya mwaka
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…