Unavyodhani NDIVYO - SIVYO. (Rejea wimbo wa Profesa J) Uko sawa ndugu yangu.Lizzy Mdogo wangu,
Hii dunia ingekuwa na huruma kidogo tu labda tungekuwa tunaweza kutabiri mazuri au mabaya yanayotusubiri mbele yetu.
Kuna watu vipande vinakuwa na perfect fit utadhani vilitegenezwa baada ya kuwa vimepimwa tena kwa special order...Ila huwezi kuamini kwamba vinashindwa kuhimili mitikisiko na kuvunjika vunjika kabla ya kufika nyumbani. Na kuna vingine ni so irregular kiasi kwamba hata kuvilazimisha vigundishwe inakuwa nje ya uwezo wetu wa kufiriki..Ila mtu unashangaa jinsi miujiza inavyojitokeza na kuvifanya viishe pamoja utadhani nilikuwa pacha toka day zero.
Maisha yaachwe tu yawe hivyo kwani hata kinyonga ana nafuu!
Lizzy Mdogo wangu,
Hii dunia ingekuwa na huruma kidogo tu labda tungekuwa tunaweza kutabiri mazuri au mabaya yanayotusubiri mbele yetu.
Kuna watu vipande vinakuwa na perfect fit utadhani vilitegenezwa baada ya kuwa vimepimwa tena kwa special order...Ila huwezi kuamini kwamba vinashindwa kuhimili mitikisiko na kuvunjika vunjika kabla ya kufika nyumbani. Na kuna vingine ni so irregular kiasi kwamba hata kuvilazimisha vigundishwe inakuwa nje ya uwezo wetu wa kufiriki..Ila mtu unashangaa jinsi miujiza inavyojitokeza na kuvifanya viishe pamoja utadhani nilikuwa pacha toka day zero.
Maisha yaachwe tu yawe hivyo kwani hata kinyonga ana nafuu!
Unavyodhani NDIVYO - SIVYO. (Rejea wimbo wa Profesa J) Uko sawa ndugu yangu.
Lizzy Mdogo wangu,
Hii dunia ingekuwa na huruma kidogo tu labda tungekuwa tunaweza kutabiri mazuri au mabaya yanayotusubiri mbele yetu.
Kuna watu vipande vinakuwa na perfect fit utadhani vilitegenezwa baada ya kuwa vimepimwa tena kwa special order...Ila huwezi kuamini kwamba vinashindwa kuhimili mitikisiko na kuvunjika vunjika kabla ya kufika nyumbani. Na kuna vingine ni so irregular kiasi kwamba hata kuvilazimisha vigundishwe inakuwa nje ya uwezo wetu wa kufiriki..Ila mtu unashangaa jinsi miujiza inavyojitokeza na kuvifanya viishe pamoja utadhani nilikuwa pacha toka day zero.
Maisha yaachwe tu yawe hivyo kwani hata kinyonga ana nafuu!
aika mbee!Aika mae sema wakati mwingine hivi vipande kabla ya kufungiwa huwa vinaonekana kuganda pamoja,lakini vikifungiwa tu huwa sielewi labda joto la chumba huyeyusha gundi iliyopo.
Lizzy mie kama chauro alicosema pande langu lilifiti vizuri sana nafikiri ile elninyo iliyoleta mafuriko ilipanuka ikawa hafiti nikawahi kulikausha na jua, usemavyo ni kweli, kabisa ila sijui ninnini huwa kinakuja kutokea
Leo asubuhi nilikua nafikiria kitu nikajikuta naangalia mahusiano na ndoa kwa namna ambayo sikuwahi kabla. Mimi na wewe ni kama vipande vya puzzle ....you've got your share and I have got mine.Ukiviweka pamoja either unapata picha/umbo kamili ama hupati.
kila mmoja ana shape na size tofauti.Inapotokea wewe kama puzzle umemchagua mtu ambae yeye kama puzzle hana shape zinazoendana na vipande ulivyonavyo ndipo matatizo na migongano inapoanza.Utajitahidi kunoa na kuongeza zile sehemu zisizofit vizuri kwako au kwake ila mwishoni unashangaa pamoja na jitihada zako zile sehemu zinapwaya na ukiendelea kulazimisha zinavunjika na kuvunjika.
So jambo la muhimu hapa ni kutafuta vile vipande ambavyo vinaendana na vyakne that is complementary to yours....one that accomodates your needs.
Linapokuja swala la ndoa ndo kabisa umakini wa hali ya juu unahitajika.Hapa kinachofanyika ni kuvishikanisha vipande vyako na vya mwenzako kwa glue.Hata kama haviendani at first havitakua na jeuri juu ya glue....ila baada ya muda utashangaa huku kunameguka...na vikianguka tu vinavunjika vunjika.Ila kama vitakua vinaendana ni rahisi kustahimili mitikisiko na mianguko.Hata sehemu ikimeguka ni rahisi kuirudishia.Kwahiyo kuweni waangalifu....usichukue tu vipande ni vipande...
....bali tafuta vile vinavyokufaa!!
Mchana mwema!!
Liz,
Mungu akubariki kwa ujumbe wako wa leo....
Kweli watu tunaangalia juu juu tunapochagua mates..... na matokeo yake ni kuumizana na kuharibiana maisha....
Right mate is comming from God!!!
Umenifanya nikupennde... enjoy ur day
Babu DC nimekusoma.
Nnavyoona mimi ni hivi: wale wanaona puzzle zao zinafit na baadae hazifit na wale wanaoona hazifit na baadae wanashangaa sio kama ni miujiza au bahati mbaya vinakua vimewatokea.Bali ni matokeo ya kutumia puzzle za MATAKWA yao kutafuta kile WANACHOHITAJI!!!
Kwahiyo wale wanaopata zinazofit wanakua wamepata kile wanachokitaka...ila baada ya muda mabadiliko yanakuja!Wanagundua kwamba walichotaka na kukipata sicho wanachohitaji!Hivyo hivyo kwa wale wanaodhani wamebahatika kuona muujiza mbele ya macho yao...mtu anakua ametumia puzzle za matakwa na kuona kwamba haziendani na za mwenzake.Ila kumbe zinaendana na mahitaji yake ambayo ni muhimu kuliko matakwa.
Na tatizo hapa ni kwamba wengi hua tunafikiria na kujua ni nini tunachotaka bila kujishughulisha kufahamu tunayohitaji!!!Ndio maana unakuta mtu aliwahi kukupa sifa za atakae kua mke wake baadae ila siku ikifika akakutambulisha unajiliza kama amesahau sifa zake zile au la!Sio kama anakua hajawaona wenye sifa alizotaka awali. Na wkati mwingine unakuta mtu anatamba sana mwanzoni kwamba mwenzangu ana kila NNACHOTAKA ila muda sio mrefu unashangaa akisema yule hakua size yangu au hakunifaa!Ukiangalia sifa zote alizotoa mwanzo kama ni uzuri/pesa/ndoa/ n.k bado viko pale pale!!
Au labda ndio mambo ya za mchina kama Chauro alivyosema!! lolzzz!!!
Lizzy hapa umepatia more than 100%. Your statemets are more than correct and to me they mean TIMING IS EVERYTHING AND ONLY TIME WILL TELL!