Mimi mgeni ndio kwanza naingia leo

Rule namba wani.
Ili ubaki salama humu usiungane na wale wamteteao "his one and only Son" vinginevyo karibu.
 
Usiwe mtetezi wa wauza ngada Bila kujijua
Achana na viwanda vya uwongo
Usiamini chadema ni wazushi Sana ni jalala
Usitongoze humu ndani mademu wote ni wetu wana watu wao
HAPA KAZI TU
 
Back
Top Bottom