mchuzi juu
Member
- May 14, 2026
- 57
- 90
- Thread starter
-
- #21
Sasa c ndo mnanielekeza nijue jaman .. kwan kuna ubaya..ππDah unazingua yaani wala hubadiliki upo vilevile tu kama ID ile tuπ€£π€£
Lakini wewe ni wa kitambo kuliko mimi mkuuSasa c ndo mnanielekeza nijue jaman .. kwan kuna ubaya..ππ
Hicho kitambo nilikuwa natumia Opera mini kuingia JF me nilikuwa nasoma nyuzi napita hivjLakini wewe ni wa kitambo kuliko mimi mkuu
Hukuona neno ID?Hicho kitambo nilikuwa natumia Opera mini kuingia JF me nilikuwa nasoma nyuzi napita hivj
Nilipatana nalo sana lakini cikujua n nn?Hukuona neno ID?
ID ni kama accountNilipatana nalo sana lakini cikujua n nn?
Oooooh okay .. thanks ..... umeme hakuna ndugu yangu au ni hukuntu π€π€ππID ni kama account
Mimi nipo ughaibuniOooooh okay .. thanks ..... umeme hakuna ndugu yangu au ni hukuntu π€π€ππ
OooooooΚ»hh but ni Suluhu KidMimi nipo ughaibuni
Ndo niniOooooooΚ»hh but ni Suluhu Kid
Nyie ndo mnafanya mbingu ziwe mbaliJamani naombeni nipokeeni mimi ni mgeni lakini mwenyeji pia kwani nilikuwa nafuatilia JF since nipo na kiswaswadu kupitia Opera miniπ€π€
Mpwayungu Village ,raraa reree ,
π π π π π€£π€£π€£π€£ kwann mkuuNyie ndo mnafanya mbingu ziwe mbali
Ahsante sana kamanda ... tutaenda sambamba π€π€Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.