Jamani naitwa Samiah nimejisajili cku si nyingi huku ila hata sielewi naona watu mnajuana ila cjui mnajuana vipi je kuna ku follow na kufollow back or?š
Jamani naitwa Samiah nimejisajili cku si nyingi huku ila hata sielewi naona watu mnajuana ila cjui mnajuana vipi je kuna ku follow na kufollow back or?š
samiah karibu sana huku unayo yaona ni upendo wa dhati ndio maana unaona wote tunafahamiana japo wengine tunafahamiana! Lakini tumezoea kuishi kwa upendo sana hata kama hatufahamiani kwa sura!
Jamani naitwa Samiah nimejisajili cku si nyingi huku ila hata sielewi naona watu mnajuana ila cjui mnajuana vipi je kuna ku follow na kufollow back or?š
naona unanifatilia kweli ivi uliona ile thread ya Majina ya huku jf.... mtoa mada alisemaje?? Alimtongoza mwanaume mwenzake wewe unadhan nataka kumtongoza?? Jiadhari kabla ya hatari unataka nitafutiwe :ban: