Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 8,668
- 25,836
Mm kama shabiki wa USM ALGER nikiwa katika jiji lenye raha hapa ALGIERS nchini Algeria
Timu yangu pendwa toka utotoni ipo fainal kuchukua kombe letu mapema dhidi ya timu dhaifu iliyoshindiliwa goli 2 bila dhidi ya marafiki zetu simba
Wakazi wote wa ARNAT,AMDOUKAL,BECHAR,BEJALA na viunga vyote vya Algeria mnakaribisha kupiga picha tarehe 29 maana kombe tumeshalichukua
Shabiki wa klabu ya Union Sportive de la Médina d'Alger maarufu kama USM Alger au USMA.
Hii ni timu yenye mafanikio na yenye kutoa nyota(wachezaji mashuhuri wenye vipaji vya Ballon dor wanaocheza ligi kubwa duniani kama RIYAD MAHREZ, KARIM BENZEMA,SAID BENRAHMA hawa wote walicheza klabu pendwa ya USM ALGER)
kama ilivyo kawaida yetu usm Alger hatujawahi kupoteza fainal wala kombe lolote mbele yetu
USM ALGER ni Madrid ya ulaya
Kikosi cha USM ALGER chenye thamani ya BIL 50
Anaitwa MUSTAPHA BOUCHINA kacheza Aston Villa timu yenye Uefa hata Arsenal hana
Ana mechi 20 goli 78
Huu ni uwanja wetu USM ALGER wa mazoez tu ambao hata hao UTO hawana kiwanja hata cha kufugia maafisa habari wao
Huu ndyo uwanja wetu pendwa USM ALGER upo pembezoni mwa bahari mara mwisho timu kutufungwa hapa 2019
Najua UTO hamna uwanja poooo
BA NTWA BA USM ALGER
QULED EL-BAHOJA
Timu yangu pendwa toka utotoni ipo fainal kuchukua kombe letu mapema dhidi ya timu dhaifu iliyoshindiliwa goli 2 bila dhidi ya marafiki zetu simba
Wakazi wote wa ARNAT,AMDOUKAL,BECHAR,BEJALA na viunga vyote vya Algeria mnakaribisha kupiga picha tarehe 29 maana kombe tumeshalichukua
Shabiki wa klabu ya Union Sportive de la Médina d'Alger maarufu kama USM Alger au USMA.
Hii ni timu yenye mafanikio na yenye kutoa nyota(wachezaji mashuhuri wenye vipaji vya Ballon dor wanaocheza ligi kubwa duniani kama RIYAD MAHREZ, KARIM BENZEMA,SAID BENRAHMA hawa wote walicheza klabu pendwa ya USM ALGER)
kama ilivyo kawaida yetu usm Alger hatujawahi kupoteza fainal wala kombe lolote mbele yetu
USM ALGER ni Madrid ya ulaya
Kikosi cha USM ALGER chenye thamani ya BIL 50
Anaitwa MUSTAPHA BOUCHINA kacheza Aston Villa timu yenye Uefa hata Arsenal hana
Ana mechi 20 goli 78
Huu ni uwanja wetu USM ALGER wa mazoez tu ambao hata hao UTO hawana kiwanja hata cha kufugia maafisa habari wao
Huu ndyo uwanja wetu pendwa USM ALGER upo pembezoni mwa bahari mara mwisho timu kutufungwa hapa 2019
Najua UTO hamna uwanja poooo
BA NTWA BA USM ALGER
QULED EL-BAHOJA