Mimi Bado Naiota Serengeti International Airport (Mugumu)

Mchokoo

JF-Expert Member
Jul 28, 2015
1,181
1,579
Eti mbuga mashuhuri duniani. yenye wanyama wengi kuliko zote ambayo pia ni urithi wa dunia.
Haina uwanja wa kimataifa wa ndege jilani yake pale MUGUMU!

Hivu hii ni aibu ua ni uchuro?
 
Eti mbuga mashuhuri duniani. yenye wanyama wengi kuliko zote ambayo pia ni urithi wa dunia.
Haina uwanja wa kimataifa wa ndege jilani yake pale MUGUMU!

Hivu hii ni aibu ua ni uchuro?
Wanaboresha uwanja wa ndege Mwanza kuwa wa kimataifa, serengere kunaitajika airtrip za kupokea ndege ndogo ndogo.
 
Uwanja wa Mugumu unapigwa vita na watz sisi wenyewe, baadhi ya tour companies zenye uwekezaji mkubwa Arusha wana wasiwasi kuboreshwa kwa Mugumu kutaharibu biashara yao.
 
Eti mbuga mashuhuri duniani. yenye wanyama wengi kuliko zote ambayo pia ni urithi wa dunia.
Haina uwanja wa kimataifa wa ndege jilani yake pale MUGUMU!

Hivu hii ni aibu ua ni uchuro?

Eti watu wa wildlife conservation wanadai uwanja mkubwa wa ndege utakimbiza wanyama.... kweli jamani
 
Eti watu wa wildlife conservation wanadai uwanja mkubwa wa ndege utakimbiza wanyama.... kweli jamani
Yaap utakimbiza wanyama ,mfano mzuri Tu pita na basi from Mugumu to Arusha via Serengeti uone jinsi nyumbu,zebra na wanyama wengine wanavyokula mita kukimbia mlio wa gari sasa wakikutana na mlio wa Airbus au Boeing wote lazima wasepe Masai mara
 
Mbona bilila lodge ya kikwete aliyojengewa na barrick gold huitaji. Ukiingia ndani unabonyeza button tu kitanda kinakuja!,
 
Mbona bilila lodge ya kikwete aliyojengewa na barrick gold huitaji. Ukiingia ndani unabonyeza button tu kitanda kinakuja!,
uzushi!! nilishawahi lala hapo haipo hivyo unavyosema kubonyeza kitanda kije ndio ulale, sema tu ile lodge haikustahili kuwepo kule, imejengwa kimandhari ya beach hotels sio kimbuga mbuga kama serengeti serena na nyinginezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom