Mimba za siku hizi

Makindi N

JF-Expert Member
Mar 14, 2008
1,066
173
Jumapili, katika pitia magazeti... kuna mtu aliandika habari hii ya kufikirika kidogo kuhusiana na mimba za hawa akina dada/wanawake/wasichana hususani walio wengi...

Kiufupi ni kwamba, zamani mwanamke akiwa mjamzito utasikia kila mara au katika siku lazima utasikia "nataka ndimu, udongo etc".... lakini siku hizi utasikia "Honie nahamu na burger, milk shake, upepo beach, etc".

Hivi ni maendeleo ktk swala zima la mimba au? Teknolojia, maisha yanapoboreka etc yanabadilisha na hata hali za wajawazito au?
 
yani we acha tu mimba za siku hizi zakukomoana kweli utasikia nataka kmoto kg2 ya rost, ninahamu kuku yani utatajiwa vitu vya garama kweli utokaa uckie udongo au embe bichi mimba za cku hizi zimeendelea sana
 
Nilikuwa nakaa sinza wakati huo nikirudi bila zanzibar piza nalala nje barazani!
 
nimecheka sana..yaani kwa eli jamani ni hatari tupu......halafu wanataja vitu vya gharama kweli yaani ni jabu sana...siku hizi ule udongo hawani kabisa ni wachache sana.....
ni ajabu kweli hawa ndugu zetu
 
yani we acha tu mimba za siku hizi zakukomoana kweli utasikia nataka kmoto kg2 ya rost, ninahamu kuku yani utatajiwa vitu vya garama kweli utokaa uckie udongo au embe bichi mimba za cku hizi zimeendelea sana

mimba zimeendelea ki vipi?
 
ht mchele cku hiz hawatafuni............

Tena uwe ule wa zamani ambao lazima jioni ukute akina mama kibarazani na ungo anapepeta kwa jinsi ulivyojaa mawe...... au wa sasa usio na mawe kabisa.... Yaani balaa..........
 
Raha ya JF!!!!!!!!!!

Kaka hii habari ungepost MMU ingekuwa mwake sana maana inahusu mambo ya mahusiano.
Jukwaa lile lina watoa ushauri nasaha wangetuhabarisha kwa nini udongo wa kutoka Pemba au Kigoma hauna soko tena??
 
Back
Top Bottom