Naomba kuuwauliza ndugu zangu, ninategemea kuezeka kakibanda kangu sina pesa ya kutosha kuweza kununua mbao treated hivyo nataka niezekee milunda, naombeni ushauri inafaa kwa ustahimilivu kama wa mbao treated?
Bagamoyo hapo nyumba kibao na za kisasa wanaezekea mirunda na fresh tu.
Muhimu nunua ile mirefu wanayotumiaga kuezekea bar za makuti mmoja huwa 5000- 8000.
Hata yangu nina mpango huo.
Bagamoyo hapo nyumba kibao na za kisasa wanaezekea mirunda na fresh tu.
Muhimu nunua ile mirefu wanayotumiaga kuezekea bar za makuti mmoja huwa 5000- 8000.
Hata yangu nina mpango huo.