Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Inaelekea kuna mengi Mkoa wa Pwani na hata yale cha kuchimba choo kwa Mamilioni inaelekea yaukweli.
Nyumba ya Mtumishi imepigwa plasta na kuzibwa nyufa kwa 50 Millioni na 90 Millioni ni kwa ajili ya ukarabati wa nyumba ya Mkuu wa wilaya.
Source: ITV Habari.
Nyumba ya Mtumishi imepigwa plasta na kuzibwa nyufa kwa 50 Millioni na 90 Millioni ni kwa ajili ya ukarabati wa nyumba ya Mkuu wa wilaya.
Source: ITV Habari.