Sio Xavi bwana, Van Babo kajifunga mwenyewe. Yaani kama mechi ya jana ya ManU, kaona goli la Barca liko mbali. Ibrahimovic amerudisha lakini. Mpira mzuri ile mbaya.
messi alitishia wakati wa kupiga penalti ndo maana wakampiga kadi ya njano halafu kapiga tena ndo kafungwa.penalti imepigwa baada ya xavi kuangushwa ndani ya penalti box
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.