bhakamu JF-Expert Member Sep 6, 2016 770 721 Oct 21, 2016 #1 Wadau Nina kiasi tajwa hapo huu nahitaji kufungua kiduka cha spea za pikipiki sanlg. Naombeni ABC za hii biashara zaidi ...
Wadau Nina kiasi tajwa hapo huu nahitaji kufungua kiduka cha spea za pikipiki sanlg. Naombeni ABC za hii biashara zaidi ...
C chief iddy Member Jul 20, 2016 85 60 Oct 25, 2016 #2 Mchawi location mkuu tafuta sehemu inapofanyika hyo biashara kwasana tafuta na fundi ili upige pesa ndefu
Mchawi location mkuu tafuta sehemu inapofanyika hyo biashara kwasana tafuta na fundi ili upige pesa ndefu
bhakamu JF-Expert Member Sep 6, 2016 770 721 Oct 26, 2016 Thread starter #3 chief iddy said: Mchawi location mkuu tafuta sehemu inapofanyika hyo biashara kwasana tafuta na fundi ili upige pesa ndefu Click to expand... Wasiwasi wangu ni hiyo capital mkuu kiduka ..kitapendeza kweli?
chief iddy said: Mchawi location mkuu tafuta sehemu inapofanyika hyo biashara kwasana tafuta na fundi ili upige pesa ndefu Click to expand... Wasiwasi wangu ni hiyo capital mkuu kiduka ..kitapendeza kweli?
Savimbi JB JF-Expert Member Sep 16, 2016 378 338 Oct 26, 2016 #6 Location ndio kitu kikubwa sana maana ukibugi hapo ndio basi,,,mwingine ataweka sehemu nyingine kwa mtaji nusu ya wa kwako lakn pana mzunguko so ATAULA
Location ndio kitu kikubwa sana maana ukibugi hapo ndio basi,,,mwingine ataweka sehemu nyingine kwa mtaji nusu ya wa kwako lakn pana mzunguko so ATAULA
niachiemimi JF-Expert Member Feb 18, 2015 3,498 4,927 Oct 26, 2016 #7 Huo mtaji kwa kuanzia unatosha. Tumia akili yako vizuri utaona matokeo +.
kandere JF-Expert Member Jul 29, 2015 313 213 Oct 26, 2016 #8 Kwanini usifungue biashara ya chips mayai, inalipa sana. Haihitajia chanzo kikubwa cha pesa.
bhakamu JF-Expert Member Sep 6, 2016 770 721 Oct 26, 2016 Thread starter #9 chief iddy said: Nunua vitu muhimu kwanza Click to expand... Sawa mkuu ngoja niongee na mafundi waniambie vitu vya kwanza navyo asante kwa mchango chanya...
chief iddy said: Nunua vitu muhimu kwanza Click to expand... Sawa mkuu ngoja niongee na mafundi waniambie vitu vya kwanza navyo asante kwa mchango chanya...
essaugervas JF-Expert Member Jun 25, 2016 581 278 Oct 26, 2016 #10 hela nying sana hyo kwa biashara ya spea za pikipiki
bhakamu JF-Expert Member Sep 6, 2016 770 721 Oct 26, 2016 Thread starter #11 kandere said: Kwanini usifungue biashara ya chips mayai, inalipa sana. Haihitajia chanzo kikubwa cha pesa. Click to expand... Mkuu nipo usukumani huku... Wao ni ugali tu so ntakosa Wateja ...
kandere said: Kwanini usifungue biashara ya chips mayai, inalipa sana. Haihitajia chanzo kikubwa cha pesa. Click to expand... Mkuu nipo usukumani huku... Wao ni ugali tu so ntakosa Wateja ...